Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,506
- 51,111
Unajua kabla ya ku comment ungemuuliza Zitto atoe uchambuzi wa matumizi ya hiyo mikopo iliyochukuliwa wakati wa kikwete na ya wakati wa Magufuli. Ndiyo maana tuna akili tumepewa na Mungu tuzitumie kama kuna mpotoshaji akitokea tuweze kuzitumia.
Mfano Tanzania ilikua vituo vya afya 77 tangu Uhuru ina maana Nyerere, Mwinyi, Mkapa na rafiki yake zitto Jakaya Kikwete wote hao katika miaka zaidi ya 50 walijenga vituo 77. Huyu mnayemsema leo katika miaka yake minne madarakani kajenga vituo 352. Katika hivyo Hospitali za Halmashauri zipo 9, Vituo vya afya vipo 304 na zahanati 39. Amekaratabati Meri 3, anajenga meri mpya ziwa victoria. Anajenga reli anajenga bwawa la umeme. Amenunua ndege n.k Hivyo kimahesabu anaweza kukokotoa na ukakubali. Sasa tuambie hizo za miaka 10 ya kikwete ipi miradi mikubwa aliifanya?????
Ukizingatia makokotoo kama hayo hutaweza kudanganywa na wapiga zumari kama kina zitto.
Kwani unadhanini wewe hujamezeshwa na Zitto ama upo partisan zaidi hivyo serikali ikisema ni propaganda ila Zitto yupo mkweli. Kweli nakupa saluti...BWANA ASIFIWEacha kumezeshwa propaganda hospitali za kata zimejengwa sana na JK
Sawa Ni adui lakin maendeleo ya kweli s kwa kukopa wakati tuna rasilimali nying Sana ambapo tunatakiwa tulipwe mishahara bila kufanya Kaz yeyoteAdui namba moja wa maendeleo ya nchi yetu ni ccm na watu wake. Siku ya kuwaondoa hawa mchwa, hakika kila Mtanganyika na Mzanzibari atafurahia matunda ya Uhuru wa nchi yake.
mkoa wa kagera una upungufu wa matundu ya choo 2232 kwa ajili ya shule za msingi. ni upuuzi kuamini kwamba ndege ni maendeleo. social assessment need iliyofanyika DODOMA inaonesha kwamba hata pakiwa makao makuu patakuwa na upungufu mkubwa wa huduma za kijamii. kiongozi kichaa anaamua kupeleka makao makuu Dodoma kisa alisema nyerere miaka hiyoooooo. vichaa wenzake wanakenua maeno wakimshangilia kwa kuimba nyimbo za taarabu kama wafanyavyo pale chimwaga.Ndugu zitto mdini sana uyu kijana
Pesa zetu ni pamoja na mikopo ya mashart nafuu. Pesa zetu za ndani ndio zitakazolipa.Miradi ipi hiyo inayokopewa pesa wakati mnasema ndege, SGR na Stiegler mnajenga kwa pesa za ndani?!!
Serikali gani isiyokopa? Hapa zito kacheza na akili zenu nyie maahira msiojua kupelemba mambo. Rais na Watanzania wanaposema Pesa zetu wenyewe wanatofautisha na misaada.Ndio tatizo la kuwa na akili za kushikiwa!! Yale yale anaulizwa mbona deni linakuwa anasema bado ni stahimilivu!! Dunia nzima nchi zinakopa lakina hawakatai!! Hapa serikali inakopa kwa kuficha ficha ila wenye akili wanajua tu ila wale nyumbu kama wewe wazee wa praise team ni kawaida yenu!! Hoja kama hatukopi kulingana na matamko ya serikali hilo deni linakuwaje kubwa kwa kasi hiyo? Ukope mkopo wa kibiashara kwa kujenga reli ambayo baada ya miaka 20 ndio itaanza kuleta faida?!!
Inawezekana sana kuwa deni la Taifa likawa kubwa kuliko kipindi cha JK, lakini katika kipindi cha miaka minne ya JP pesa[pamoja na mikopo] kwa ajili ya maendeleo zimefanya kazi kubwa na za kuonekana kuliko kipindi chote cha uhai wa nchi yetu.ZITTO KABWE: MIAKA MINNE YA MAGUFULI DENI LA TAIFA LIMEONGEZEKA SAWA NA MIAKA 10 YA KIKWETE.
Na: Suphian Juma
Wakati Serikali ya Magufuli inajinasibu kuwa ya wanyonge na kwamba Rais Magufuli ndiye Rais pekee kupata kutokea tangu tupate Uhuru na kwamba kama kuna tatizo kubwa la kitaifa halijatatuliwa na yeye awali hii, hapatatokea Rais mwingine atakayekuwa na ubavu wa kulitatua; Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT wazalendo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hususani Twitter ameonesha takwimu na hivyo kusikitishwa na ongezeko la Deni la Taifa lisilomithilika.
Hapa nimewasogezea mtiririko wa 'tweets' (posts) nne ambazo Zitto ameziandika kupitia Twitter leo Sept 27, 2019.
1. Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/Siku.
2. Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.
3. Serikali ya Awamu ya 4 ilipoingia Madarakani Deni la Taifa la Nje lilikuwa USD 8 billioni ( Novemba 2005 ). Wakati inaondoka madarakani, miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 ). Ongezeko la USD 7 bilioni.
4. Septemba 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna ajira mpya kiivo. Hakuna nyongeza ya mishahara kisheria, wafanyakazi wanalia kila siku. Wanaopanda vyeo hawalipwi mishahara ya vyeo vyeo vipya ( wafanyakazi wa Umma wanalia kila siku ). Masikini waliostaafu miaka 2 iliyopita mpaka leo hawajalipwa. HATUDANGANYIKI.
Kwakuwa Watanzania sio wajinga, nadhani ni vyema sasa tukatafakari kwa kina suala hili, tukizingatia tunavyozidi kuwa maskini kila uchwao tofauti na miaka iliyopita kabla ya 2015. Na kwamba kama dhumuni la kuwa na Serikali na Rais Mpya ni kuwa na maisha bora, na dhumuni hili halijatimia, je bado tutamchagua tena Magufuli 2020 au badala yake tutahakikisha tumchagua Rais Mpya, Serikali Mpya na Chama kimya Ikulu ili kuirejesha NCHI kwenye MISINGI ya MATUMAINI kwa VITENDO?
TUTAFAKARI.
ACT wazalendo tupo nanyi DAIMA!
Suphian Juma
Sept 27, 2019
Singida.View attachment 1217215
Kazi gani?Inawezekana sana kuwa deni la Taifa likawa kubwa kuliko kipindi cha JK, lakini katika kipindi cha miaka minne ya JP pesa[pamoja na mikopo] kwa ajili ya maendeleo zimefanya kazi kubwa na za kuonekana kuliko kipindi chote cha uhai wa nchi yetu.
'Love him Hate but facts remains to be facts.
You cant be both dumb and blind!!!!!!! I am not a politician nor do i aspire to be oneKazi gani?
Kuna watu wanaamini Awamu nyingine hazikufanya mambo kama awamu hii. hawa wamemeza ndoano ya propaganda
AWAMU YA NNE ilifanya mengi kwa mfano
1.Barabara alozojenga JK mmezisahau?
2.Umeme kinyerezi 1
3.Bomba la gesi
4.UDOM
5.Mloganzila hospital
6.Jakaya Kikwete Health Institute
7.Barabara za Mwendokasi Dar
8.Ajira za kila mwezi
9.Nyongeza za Mishahara ya wafanyakazi
10. Vivuko alivyokuwa akifungua Magufuli akiwa kama waziri wa ujenzi
11.Repair ya viwanja vya ndege
12.Hospitali za kata
13.Madaraja ya Kigamboni, Malagarasi etc
14. Mradi wa maji ruvu chini
15. Airport Terminal III
16.Majumba ya maaskari kila kona ya nchi
17.Kuongezeka idadi ya wanafunzi wanaopata mkopo elimu ya juu
Hayo mambo yalifanywa na serikali ya Magufuli?
ZITTO KABWE: MIAKA MINNE YA MAGUFULI DENI LA TAIFA LIMEONGEZEKA SAWA NA MIAKA 10 YA KIKWETE.
Na: Suphian Juma
Wakati Serikali ya Magufuli inajinasibu kuwa ya wanyonge na kwamba Rais Magufuli ndiye Rais pekee kupata kutokea tangu tupate Uhuru na kwamba kama kuna tatizo kubwa la kitaifa halijatatuliwa na yeye awali hii, hapatatokea Rais mwingine atakayekuwa na ubavu wa kulitatua; Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT wazalendo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hususani Twitter ameonesha takwimu na hivyo kusikitishwa na ongezeko la Deni la Taifa lisilomithilika.
Hapa nimewasogezea mtiririko wa 'tweets' (posts) nne ambazo Zitto ameziandika kupitia Twitter leo Sept 27, 2019.
1. Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/Siku.
2. Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.
3. Serikali ya Awamu ya 4 ilipoingia Madarakani Deni la Taifa la Nje lilikuwa USD 8 billioni ( Novemba 2005 ). Wakati inaondoka madarakani, miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 ). Ongezeko la USD 7 bilioni.
4. Septemba 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna ajira mpya kiivo. Hakuna nyongeza ya mishahara kisheria, wafanyakazi wanalia kila siku. Wanaopanda vyeo hawalipwi mishahara ya vyeo vyeo vipya ( wafanyakazi wa Umma wanalia kila siku ). Masikini waliostaafu miaka 2 iliyopita mpaka leo hawajalipwa. HATUDANGANYIKI.
Kwakuwa Watanzania sio wajinga, nadhani ni vyema sasa tukatafakari kwa kina suala hili, tukizingatia tunavyozidi kuwa maskini kila uchwao tofauti na miaka iliyopita kabla ya 2015. Na kwamba kama dhumuni la kuwa na Serikali na Rais Mpya ni kuwa na maisha bora, na dhumuni hili halijatimia, je bado tutamchagua tena Magufuli 2020 au badala yake tutahakikisha tumchagua Rais Mpya, Serikali Mpya na Chama kimya Ikulu ili kuirejesha NCHI kwenye MISINGI ya MATUMAINI kwa VITENDO?
TUTAFAKARI.
ACT wazalendo tupo nanyi DAIMA!
Suphian Juma
Sept 27, 2019
Singida.View attachment 1217215
Jamani hebu tueleweshane hapo. Deni likiongezeka huku pesa hizo zinafanya miradi mingi inayoonekana tatizo liko wapi? Si ni kama kukopa bank. Shida kwa maoni yangu ni kama deni likitumika vibaya ndio tumcharure Uncle Magu. Tupeane elimu wadau labda mimi naelewa vibaya
Basi asiseme amechota chunguni!Sio donor fund projects kama danida, jica, au USaid. Ni pesa amabazo hata tukikopa ni lazima tuzilipe. Zinatoka adb au wb. Tuna miradi nzima ya barabara, meli, vivuko, umeme, maji, afya, utalii, bandari, viwanja vya ndege. Kodi inayokusanywa haifikii hizo gharama.
Tahira ni wewe na hao wapumbavu wenzako mnaoshindwa kutofautisha kati ya mkopo na pesa yako mwenyewe!Pesa zetu ni pamoja na mikopo ya mashart nafuu. Pesa zetu za ndani ndio zitakazolipa.
Taahira pekee ndiye hajaelewa kuwa ukikopa unakuwa umetangulia kutumia Pesa utakayoikusanya baadaye. Ngoja niishie hapa katika kukuelewesha
Sasa mbona mlitudanganya kuwa Ni dhaifu na mpenda Raha Kama Vasco dagama? Tena mkatuwekea na picha akiwa anabembea Jamaica, kumbe waongo tu, shenzi zenuKuna watu wanaamini Awamu nyingine hazikufanya mambo kama awamu hii. hawa wamemeza ndoano ya propaganda
AWAMU YA NNE ilifanya mengi kwa mfano
1.Barabara alozojenga JK mmezisahau?
2.Umeme kinyerezi 1
3.Bomba la gesi
4.UDOM
5.Mloganzila hospital
6.Jakaya Kikwete Health Institute
7.Barabara za Mwendokasi Dar
8.Ajira za kila mwezi
9.Nyongeza za Mishahara ya wafanyakazi
10. Vivuko alivyokuwa akifungua Magufuli akiwa kama waziri wa ujenzi
11.Repair ya viwanja vya ndege
12.Hospitali za kata
13.Madaraja ya Kigamboni, Malagarasi etc
14. Mradi wa maji ruvu chini
15. Airport Terminal III
16.Majumba ya maaskari kila kona ya nchi
17.Kuongezeka idadi ya wanafunzi wanaopata mkopo elimu ya juu
Hayo mambo yalifanywa na serikali ya Magufuli?
Kuna member humu ndani kakudharau sana na kukuita bogus na hapa unathibitisha uwezo wako mdogo Wa kufikiri! Ni kweli unajihakikishia kwa dhati ya moyo wako kuwa awamu zilizopita hazikujenga miradi yoyote inayoonekana kwa macho?Kwani awamu ya 4 zilifanyika shughuli gani za kiuchumi zinazoonekana kwa macho haya ya mwili?!!......mbona ilitkopa fedha nyingi sana!!!!
ZITTO KABWE: MIAKA MINNE YA MAGUFULI DENI LA TAIFA LIMEONGEZEKA SAWA NA MIAKA 10 YA KIKWETE.
Na: Suphian Juma
Wakati Serikali ya Magufuli inajinasibu kuwa ya wanyonge na kwamba Rais Magufuli ndiye Rais pekee kupata kutokea tangu tupate Uhuru na kwamba kama kuna tatizo kubwa la kitaifa halijatatuliwa na yeye awali hii, hapatatokea Rais mwingine atakayekuwa na ubavu wa kulitatua; Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT wazalendo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hususani Twitter ameonesha takwimu na hivyo kusikitishwa na ongezeko la Deni la Taifa lisilomithilika.
Hapa nimewasogezea mtiririko wa 'tweets' (posts) nne ambazo Zitto ameziandika kupitia Twitter leo Sept 27, 2019.
1. Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/Siku.
2. Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.
3. Serikali ya Awamu ya 4 ilipoingia Madarakani Deni la Taifa la Nje lilikuwa USD 8 billioni ( Novemba 2005 ). Wakati inaondoka madarakani, miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 ). Ongezeko la USD 7 bilioni.
4. Septemba 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna ajira mpya kiivo. Hakuna nyongeza ya mishahara kisheria, wafanyakazi wanalia kila siku. Wanaopanda vyeo hawalipwi mishahara ya vyeo vyeo vipya ( wafanyakazi wa Umma wanalia kila siku ). Masikini waliostaafu miaka 2 iliyopita mpaka leo hawajalipwa. HATUDANGANYIKI.
Kwakuwa Watanzania sio wajinga, nadhani ni vyema sasa tukatafakari kwa kina suala hili, tukizingatia tunavyozidi kuwa maskini kila uchwao tofauti na miaka iliyopita kabla ya 2015. Na kwamba kama dhumuni la kuwa na Serikali na Rais Mpya ni kuwa na maisha bora, na dhumuni hili halijatimia, je bado tutamchagua tena Magufuli 2020 au badala yake tutahakikisha tumchagua Rais Mpya, Serikali Mpya na Chama kimya Ikulu ili kuirejesha NCHI kwenye MISINGI ya MATUMAINI kwa VITENDO?
TUTAFAKARI.
ACT wazalendo tupo nanyi DAIMA!
Suphian Juma
Sept 27, 2019
Singida.View attachment 1217215
Acheni kufuru, binafsi nakubali utendaji kazi wa jpm, lakn jk kafanya mengi kwa uwezo wake ni wakati wa awamu ya 4 mikoa yote ya iliunganishwa kwa Lami, na barabara nyingi zilijengwa, zahanati na hospital zilijengwa…unafikiri km jk asingekuwa anawaza kuhusu kuwabebesha vizazi vijavyo mzigo was madeni, angeshindwa kukopa afanye miujiza? Mnakera kila mradi fedha za ndani kumbe mnakopaKwani awamu ya 4 zilifanyika shughuli gani za kiuchumi zinazoonekana kwa macho haya ya mwili?!!......mbona ilitkopa fedha nyingi sana!!!!
Bwashee unateseka sana.Kuna member humu ndani kakudharau sana na kukuita bogus na hapa unathibitisha uwezo wako mdogo Wa kufikiri! Ni kweli unajihakikishia kwa dhati ya moyo wako kuwa awamu zilizopita hazikujenga miradi yoyote inayoonekana kwa macho?
Basi wewe sio kipofu Wa macho tu bali na ubongo!
Udom, upanuzi Wa uwanja Wa ndege Wa jkn, daraja LA mkapa na malagarasi, hospitality ya mloganzila Barbara za lami zilizosimamiwa na Hugo unayemwabudu na kumtukuza kuliko muumba wako, sekondari za kata na vingine Vingi vilishushwa kutoka mawinguni?
Ficha unafiki wako sometime unatia aibu! Haiyumkini umekosa hata Wa kukuoa kwa hii tabia yako ya kinafiki!