Zitto Kabwe: Miaka minne ya Magufuli deni la Taifa limeongezeka sawa na miaka 10 ya Kikwete


acha kumezeshwa propaganda hospitali za kata zimejengwa sana na JK
 
Adui namba moja wa maendeleo ya nchi yetu ni ccm na watu wake. Siku ya kuwaondoa hawa mchwa, hakika kila Mtanganyika na Mzanzibari atafurahia matunda ya Uhuru wa nchi yake.
Sawa Ni adui lakin maendeleo ya kweli s kwa kukopa wakati tuna rasilimali nying Sana ambapo tunatakiwa tulipwe mishahara bila kufanya Kaz yeyote

Wazee,omba omba,wajengewe makaz yakutosha nyumba ziwe bwerere kabisa.

Lakini tulishazoea kukopa kopa.hatuna washaur au wachum wenye kuleta tija katika taifa
 
Ndugu zitto mdini sana uyu kijana
mkoa wa kagera una upungufu wa matundu ya choo 2232 kwa ajili ya shule za msingi. ni upuuzi kuamini kwamba ndege ni maendeleo. social assessment need iliyofanyika DODOMA inaonesha kwamba hata pakiwa makao makuu patakuwa na upungufu mkubwa wa huduma za kijamii. kiongozi kichaa anaamua kupeleka makao makuu Dodoma kisa alisema nyerere miaka hiyoooooo. vichaa wenzake wanakenua maeno wakimshangilia kwa kuimba nyimbo za taarabu kama wafanyavyo pale chimwaga.
ni aibu karne ya 21 mtu kuacha kujibu hoja na kukimbilia udini. shame on you
 
Miradi ipi hiyo inayokopewa pesa wakati mnasema ndege, SGR na Stiegler mnajenga kwa pesa za ndani?!!
Pesa zetu ni pamoja na mikopo ya mashart nafuu. Pesa zetu za ndani ndio zitakazolipa.
Taahira pekee ndiye hajaelewa kuwa ukikopa unakuwa umetangulia kutumia Pesa utakayoikusanya baadaye. Ngoja niishie hapa katika kukuelewesha
 
Serikali gani isiyokopa? Hapa zito kacheza na akili zenu nyie maahira msiojua kupelemba mambo. Rais na Watanzania wanaposema Pesa zetu wenyewe wanatofautisha na misaada.
Pesa zetu wenyewe ni pamoja na mikopo, makusanyo ya kodi, magawio ya hisa nk. Mkopo maana yake ni kutangulia kuitumia Pesa utakayoikusanya baadaye.
Sina kauli iliyosema tunajenga kwa kwa Pesa za makusanyo ya ndani tu. Hata hivyo pia kiwango cha makusanyo ya ndani yanaamua tukope kiasi gani.
Hivyo zito asitegemee makusanyo ya bilioni 800 atakopa sawa na mwenye makusanyo ya tir 1.5
 
Inawezekana sana kuwa deni la Taifa likawa kubwa kuliko kipindi cha JK, lakini katika kipindi cha miaka minne ya JP pesa[pamoja na mikopo] kwa ajili ya maendeleo zimefanya kazi kubwa na za kuonekana kuliko kipindi chote cha uhai wa nchi yetu.
'Love him Hate but facts remains to be facts.
 
Kazi gani?
 
Ni kumuabisha Kikwete wa miaka 10 kumlinganisha na Magufuli wa miaka 4.
 
Tunapesa keshi sisi hatunaga machezo
 

Miradi ipi Mkuu ?

kwani hela zetu za ndani zinafanya nini?
 
Basi asiseme amechota chunguni!
 
Pesa zetu ni pamoja na mikopo ya mashart nafuu. Pesa zetu za ndani ndio zitakazolipa.
Taahira pekee ndiye hajaelewa kuwa ukikopa unakuwa umetangulia kutumia Pesa utakayoikusanya baadaye. Ngoja niishie hapa katika kukuelewesha
Tahira ni wewe na hao wapumbavu wenzako mnaoshindwa kutofautisha kati ya mkopo na pesa yako mwenyewe!
 
Sasa mbona mlitudanganya kuwa Ni dhaifu na mpenda Raha Kama Vasco dagama? Tena mkatuwekea na picha akiwa anabembea Jamaica, kumbe waongo tu, shenzi zenu
 
Kwani awamu ya 4 zilifanyika shughuli gani za kiuchumi zinazoonekana kwa macho haya ya mwili?!!......mbona ilitkopa fedha nyingi sana!!!!
Kuna member humu ndani kakudharau sana na kukuita bogus na hapa unathibitisha uwezo wako mdogo Wa kufikiri! Ni kweli unajihakikishia kwa dhati ya moyo wako kuwa awamu zilizopita hazikujenga miradi yoyote inayoonekana kwa macho?
Basi wewe sio kipofu Wa macho tu bali na ubongo!
Udom, upanuzi Wa uwanja Wa ndege Wa jkn, daraja LA mkapa na malagarasi, hospitality ya mloganzila Barbara za lami zilizosimamiwa na Hugo unayemwabudu na kumtukuza kuliko muumba wako, sekondari za kata na vingine Vingi vilishushwa kutoka mawinguni?
Ficha unafiki wako sometime unatia aibu! Haiyumkini umekosa hata Wa kukuoa kwa hii tabia yako ya kinafiki!
 
Kitu watu wengi wasicho Kijua ni kwamba Mkapa hakukopa Bali alilipa madeni,na ndiyo kiongozi wa pili kupewa na nyerere,Baada ya hapo viongo wanaofuata ni kiki kwa kwenda mbele.ndiyo maana hili halitangazwi akapewa sifa zake
 

Mropokaji mwingine na data za kupikwa. Kama haya ni kweli kwa nini hayaongelei Bungeni? The guy is bogus.
 
Kwani awamu ya 4 zilifanyika shughuli gani za kiuchumi zinazoonekana kwa macho haya ya mwili?!!......mbona ilitkopa fedha nyingi sana!!!!
Acheni kufuru, binafsi nakubali utendaji kazi wa jpm, lakn jk kafanya mengi kwa uwezo wake ni wakati wa awamu ya 4 mikoa yote ya iliunganishwa kwa Lami, na barabara nyingi zilijengwa, zahanati na hospital zilijengwa…unafikiri km jk asingekuwa anawaza kuhusu kuwabebesha vizazi vijavyo mzigo was madeni, angeshindwa kukopa afanye miujiza? Mnakera kila mradi fedha za ndani kumbe mnakopa
 
Bwashee unateseka sana.

Sasa huyo Zitto wako haoni shughuli inayofanyika awamu hii hadi ajifanye anashangaa.
Watu wanajua huyo Zitto " wako" alivyokuwa anapiga hela pale bandarini kwa nafasi yake ya boss PAC ambazo ni mkopo na kusababisha gati zisijengwe.

Hizo akili zako za Mbege wapelekee wenzio pale ufipa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…