We ni mbunge aliepitia siasa za aina nyingi sana ila sasa wakati wakujua mbichi au mbivu kuhusu wewe siku nyingi umekuwa ukisemwa wewe ni mula rushwa, mtu mwenye tamaa, msaliti na jasiri mpaka ilifikia chama chako kutaka kukufukuza, ila ahsante mahakama ilikusimamia na kukupa haki yako. Kwa madai hao ukiwambia watu walete objectivity evidence imebakiwa za kuhisi na ufananisho wake kuonywsha ushiriki wako.
Wewe ndie mwenyekiti PAC na hapa pesa zetu zimeibiwa hapa tutajua wewe ni mbunge wa aina gani maana watu wanatoa mifano ya pressure nyingi ulizozisimamia kidete mwisho zilivyokuwa mfano ulitumia ujanja wako na ujuaji wa mambo majina ya Uswisi yaliisha bila kututajia majina na Buzwagi iliisha kimya.
Zitto nakukumbusha kuwa usithubutu kwenda tofauti na matarajio ya watanzania umesema tutapambana na facts hizo facts ndio tunazozisubiri maana usije fikiri kuwa wewe unajua kuliko Mkono japo ni swahiba yako base only on the truth we shall respect you advancly ila kama ukienda kinyume na facts watanzania tutaamka usingizini hili jambo lilipofika ni facts peke yake itaaamua usahihi wake wache wachume mbivu zao.
Nakuombea kwa mungu akulinde akupe ujasiri na akupe tumaini la wengi na si tumaini la nafsi yako tu. Deo filikujombe upo pembeni tutajua na wewe ni mtu wa aina gani katika hili suala la Escrow tegeta ila pia mungu nawe akupe nguvu na akuepushe na waovu pia ila jueni kesho tutawajua nyie ni watu wa aina gani kumbukeni watanzania hawatakubali ujinga na poleni kwa vitisho na kazi yenye risks kubwa sana
Wewe ndie mwenyekiti PAC na hapa pesa zetu zimeibiwa hapa tutajua wewe ni mbunge wa aina gani maana watu wanatoa mifano ya pressure nyingi ulizozisimamia kidete mwisho zilivyokuwa mfano ulitumia ujanja wako na ujuaji wa mambo majina ya Uswisi yaliisha bila kututajia majina na Buzwagi iliisha kimya.
Zitto nakukumbusha kuwa usithubutu kwenda tofauti na matarajio ya watanzania umesema tutapambana na facts hizo facts ndio tunazozisubiri maana usije fikiri kuwa wewe unajua kuliko Mkono japo ni swahiba yako base only on the truth we shall respect you advancly ila kama ukienda kinyume na facts watanzania tutaamka usingizini hili jambo lilipofika ni facts peke yake itaaamua usahihi wake wache wachume mbivu zao.
Nakuombea kwa mungu akulinde akupe ujasiri na akupe tumaini la wengi na si tumaini la nafsi yako tu. Deo filikujombe upo pembeni tutajua na wewe ni mtu wa aina gani katika hili suala la Escrow tegeta ila pia mungu nawe akupe nguvu na akuepushe na waovu pia ila jueni kesho tutawajua nyie ni watu wa aina gani kumbukeni watanzania hawatakubali ujinga na poleni kwa vitisho na kazi yenye risks kubwa sana