zitto kuzindua kampeni za udiwani ni kujishushia heshima yake
Ng'wana Sweke mimi sina wasiwasi kabisa na ushindi wa CDM hapo Kirumba naijua Kirumba nawajua watu wake nimekulia hapo, nawatakia ushindi mnono.Ni kwenye kinyang'anyiro cha udiwani kata ya Kirumba jijini Mwanza.Ni keshokutwa siku ya Jumapili.
Karibuni.
zitto kuzindua kampeni za udiwani ni kujishushia heshima yake
komaeni maana mil 60 zilizoandaliwa tunaomba zipotee bure na pia namtabiria aliyezitoa kufilisika baada ya ubunge wake.Kaingia kichwa kichwa na huenda kwa sababu shule ili DONT
Huyo atakuwa mwizi tu, na anauhakika zitarudi akishinda hata wananchi wakila mapanki ilimradi pesa yake inarudi. Na ndiyo aina ya viongozi wetu wengi walivyo kwa sasa!! Wako radhi kupiga magoti ili uwape kura lakini wakishapata kura, watakutimulia vumbi, watakumwagia tope na kukuita jina lolote baya!!hivi mtu anayewekeza milion sitini simply kwa ajili ya udiwani tu atazi recover vipi?? na ana interest gani na huo udiwani? na anahakikishaje atashinda maana kura ni some sort og gambling??