Zitto Kabwe kupeleka Bungeni hoja binafsi ya kutokuwa na Imani na Rais Magufuli

Ndugu yangu Zitto unatishia kupeleka hoja ya kutokuwa na imani na Rais hahaha yani anaweza akasubiri unataka kuingia kwenye mlango wa bunge na akalivunja bunge hapo hapo..........
Zitto Kigoma kuna mvua nenda kahamasishe kilimo kuliko kupiga kelele facebook na twitter....
Umemshindwa Muhongo kamwe Magufuli hutomuweza unapoteza muda............
 
Ukisoma vizuri hili post utagundua hatua hii ya Zitto bado ni conditional kutegemea na jinsi serikali itakavyo-handle issue ya uhaba wa chakula katika siku zijazo.
Tatizo ni kuwa siasa zi.etukaa sana mbelembele na hatufikirii namna ya kulipeleka taifa kuzuri
Kama ni uhaba wa chakula mbna ishatokea mara kibao nyuma na mambo yakawa mazr baadae
 
Zitto akizidi kumwandama Magufuli atapotea Kama Ben Saa tisa.
ZK kwa sasa kinachomfaa ni kupuuzwa tu! Asizuiwe kutoa maoni, yenye tija yachukuliwe lakini yaliyo mengi hayana mashiko! Ili amuelewe rais wetu ni lazima ashuke kwenye uelewa wa masikini waliowengi na aachane na utaratibu wa kukariri kwa kusomea, watz wengi wanamtazamo tofauti kabisa na yeye! Kwa wananchi waliowengi waliokuwa wamezoea kudanganywa Magufuli is by far a more practical president. Aende tu na muswada wake hazuiliwi na mtu!
 
Sijui kama umemuelewa mleta mada! Uliyoyaandika hayafanani na mada, jitafakari...
 

Hakujua poleni.
 
Leo ndo mnamkataa
 
Unafiki wake tunaujua na hata chuo alitusumbua kwa roho ya ubinafsi. Yuko kimaslahi zaidi...kapewa lamba lamba kwa kuwa huwa hawezi kuchukua maada yeyote bila ....
 
Zitto ananifurahisha sana. Siasa za JK anampelekea Magu.
 
Binafsi Nina subiria Kwa hamu magazeti ya Kesho baada ya haya matukio matatu ya Leo

1. JPM kule Magu

2.Lowassa kule Kagera

3.Zito kule Dar
 
Nilikuwa namuelewa Zitto, lakini kwa kauli zake za kumpiga rais wetu wa ukweli hanipat tena, Zitto ndumilakuwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…