Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,955
- 95,259
Ashakwambia kuwa yeye ndiye alpha na omegaRais akimpa uwaziri huo Zitto, litakuwa kosa kubwa kabisa la kiufundi kuwahi kulifanya katika shughuli zake za kuongoza nchi mpaka wakati huo. Nadhani, atatumia 'macho yake matano' kumuweka mtu anayefaa nafasi hiyo.
In God we trust