Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Nikikuuliza usaliti wake nini hata hujui. Wacha kufuata mkumbo. Zitto sio zwazwa wa kudanganywa. Yupo kwa maslahi ya wapiga kura wake.msaliti, hana ishu, siku hizi sauti yake haifiki hata magogoni!
Hakuna lolote analolifanya mbona aliwatosa wapiga kura wake kule mwandiga bila kuwajengea choo cha sokoni?awadanganye wasiyo ijua kigomaKijana anaendelea kupiga kazi jimboni kwake kwa kufuata sheria. Ukimsikiza vyema utajua Zitto ana nia njema na wapiga kura wake.
Halmashauri ina nia ya kuunda timu ya Kigoma ili ishiriki ligi kuu. Hivyo wameshapata msaada wa kujengewa viwanja vya mpira.
Kujenga jengo kwa ajili ya wafanyabiashara.
Anataka watu wasimkwamishe kwa matakwa yao ya muda mfupi au kisiasa. Wakati wa ujenzi kuna watu watakosa biashara, lakini mnivumilie ili mradi ukamilike.
Ili kukamilisha mradi lazima nimuombe waziri. Kuna waziri wa ACT? Lazima nishirikiane na serikali ya CCM ili itimize wajibu wao.
Kuna kachama fulani kana mdomo mdomo, kanasema kushirikiana na CCM ni usaliti. Sisi tunataka maendeleo/demokrasia.
Ukienda mkoa wa Kilimanjaro wana barabara mpaka vijijini ndani.
Kuna mwaka nilienda Kilimanjaro kuna mzee alisema kuna shule 50 za sekondari,lakini sisi Kigoma tulikuwa nayo moja tu.
Wale wenzetu wako mbali kimaendeleo...
Ninyi hamkuchagua mbunge zwazwa anayefuata mkumbo, mmechagua mbunge awaletee maendeleo. Wakati ukifika nikashindwa nitawaeleza kuwa jamani mimi nimeshindwa chagueni mwingine.
Jamani sisi tunataka maendeleo, na ili tupate maendeleo lazima tushirikiane kwenye miradi ambayo nimewaeleza.
Endeleeni kufuatilia video...
Kila mtanzania kesha mdharau na kumtia kapu moja na Lipumbamsaliti, hana ishu, siku hizi sauti yake haifiki hata magogoni!
Wewe unaongea ukiwa dsm au kwenu kanyigo sisi tunaongea tukiwa hapa kigoma wacha kupalilia kitumbua kwa unafikiNikikuuliza usaliti wake nini hata hujui. Wacha kufuata mkumbo. Zitto sio zwazwa wa kudanganywa. Yupo kwa maslahi ya wapiga kura wake.
Mkuu wewe ni mkalisanaSasa wenye shule na elimu kubwa toka lini wakazidiwa na wasio na elimu? Wenye elimu wamesema hii ndo njia kama mlivyochelewa kujua umuhimu wa elimu ndivyo jinsi mnavyochelewa kujua haki zenu kama raia
true!Kila mtanzania kesha mdharau na kumtia kapu moja na lipuuumbaa
In God we trust
Alipinga fikra sahihi za wamiliki wa taasisi ya CHADEMAAlifukuzwa
In god we trust
Kijana anaendelea kupiga kazi jimboni kwake kwa kufuata sheria. Ukimsikiza vyema utajua Zitto ana nia njema na wapiga kura wake.
Halmashauri ina nia ya kuunda timu ya Kigoma ili ishiriki ligi kuu. Hivyo wameshapata msaada wa kujengewa viwanja vya mpira.
Kujenga jengo kwa ajili ya wafanyabiashara.
Anataka watu wasimkwamishe kwa matakwa yao ya muda mfupi au kisiasa. Wakati wa ujenzi kuna watu watakosa biashara, lakini mnivumilie ili mradi ukamilike.
Ili kukamilisha mradi lazima nimuombe waziri. Kuna waziri wa ACT? Lazima nishirikiane na serikali ya CCM ili itimize wajibu wao.
Kuna kachama fulani kana mdomo mdomo, kanasema kushirikiana na CCM ni usaliti. Sisi tunataka maendeleo/demokrasia.
Ukienda mkoa wa Kilimanjaro wana barabara mpaka vijijini ndani.
Kuna mwaka nilienda Kilimanjaro kuna mzee alisema kuna shule 50 za sekondari,lakini sisi Kigoma tulikuwa nayo moja tu.
Wale wenzetu wako mbali kimaendeleo...
Ninyi hamkuchagua mbunge zwazwa anayefuata mkumbo, mmechagua mbunge awaletee maendeleo. Wakati ukifika nikashindwa nitawaeleza kuwa jamani mimi nimeshindwa chagueni mwingine.
Jamani sisi tunataka maendeleo, na ili tupate maendeleo lazima tushirikiane kwenye miradi ambayo nimewaeleza.
Endeleeni kufuatilia video...