Zitto Kabwe Katiba ya Chadema haina Ibara ya watu kukubaliana kugawana madaraka ya Chama kama karanga, kama ipo tuonyeshe

Kiongozi Mkuu wa ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe, katika maelezo yake amedai kwamba walifikia Makubaliano na Mbowe ili yeye achukue uenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe, Amezungumza mengi , lakini hakusema yote, wala hakusema kwanini alikuwa anaongozana na Kikwete kwenye ziara za Nje ya Nchi huku akiwa kiongozi wa Upinzani, Zitto alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema.

Bado Zitto hajawahi kusema hadharani namna Kikwete alivyokuwa anamfadhili ili kuua Chadema (Haya tutayasema baadaye).

Bali hoja yetu ya leo ni hii, Atuonyeshe kifungu cha Katiba ya Chadema kinachoelekeza hayo aliyoyasema, vinginevyo hiyo itakuwa porojo kama ile ya Lowassa kwamba alikubaliana na Kikwete kuachiana Urais , huku akijua utaratibu wa Chama chao hauko hivyo.

Kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, vyama vya siasa ni mali ya Wanachama, ndio maana Leo Lwekamwa alifukuzwa TLP hata kama alikuwa mwanzilishi.
Zitto aache kuizungumza Chadema! Yeye apambane na kazi aliyopewa na ccm kupitia chama chake mamluki na kamwe hataiweza Chadema. Mbona hatujawahi kumsikia Mbowe akimzungumza huyo kibaraka Zitto? Viva kamanda Mbowe,songa mbele tulikomboe Taifa letu kutoka kwa mkoloni mweusi.
 
Umeelewa hoja yetu ?
Kuwa Zitto alitaka madaraka kinyume na katiba ya CHADEMA!Swali ni je alifanya mapinduzi?Je aliruhusiwa kugombea in a democratic way au alifanyiwa zengwe before uchaguzi.Kama alikuwa na makandokando why the top walimuogopa kushindanishwa nae!Hahahaa
 
Maajabu ni haya: Ndoto ya Zitto (kama anavyoitangaza mwenyewe) ni kuwa anasubiri tu kuwa Rais wa nchi hii. Bila shaka yeye mwenyewe hajui alivyojitibulia ndoto yake hiyo kwa tabia zake hizi za kutokuwa mwaminifu.

Nikiri: Zitto, yule wa mwanzo mwanzo CHADEMA; hasa akiwa mbunge chini ya Spika Sitta; Zitto yule alitia matumaini sana.
Baada ya hapo, mambo yakamwendea kombo sana alipovurugwa akili na Kikwete kutaka aiue CHADEMA.
Zitto ni mshamba mshenzi
 
Kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, vyama vya siasa ni mali ya Wanachama, ndio maana Leo Lwekamwa alifukuzwa TLP hata kama alikuwa mwanzilishi.
Mkuu hii sheria naona inaoperate kwenye vyama vidogo tu Kama hivyo Tlp, Ada tadea, n.k.
Ila hivi vyama vikubwa vina Ma GodFather, yaani kuna watu wamepoteza asset zao na kurisk maisha yao kwa ajili ya kuvijenga hivyo vyama, hao watu si rahisi kuwang'oa.
 
Kiongozi Mkuu wa ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe, katika maelezo yake amedai kwamba walifikia Makubaliano na Mbowe ili yeye achukue uenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe, Amezungumza mengi , lakini hakusema yote, wala hakusema kwanini alikuwa anaongozana na Kikwete kwenye ziara za Nje ya Nchi huku akiwa kiongozi wa Upinzani, Zitto alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema.

Bado Zitto hajawahi kusema hadharani namna Kikwete alivyokuwa anamfadhili ili kuua Chadema (Haya tutayasema baadaye).

Bali hoja yetu ya leo ni hii, Atuonyeshe kifungu cha Katiba ya Chadema kinachoelekeza hayo aliyoyasema, vinginevyo hiyo itakuwa porojo kama ile ya Lowassa kwamba alikubaliana na Kikwete kuachiana Urais , huku akijua utaratibu wa Chama chao hauko hivyo.

Kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, vyama vya siasa ni mali ya Wanachama, ndio maana Leo Lwekamwa alifukuzwa TLP hata kama alikuwa mwanzilishi.
Zitto ni chawa na CCM
 
Na mzee Mbowe ameshamuanda mtoto wake anaitwa James Mbowe kuchukua hatima pale ambapo huyu mzee atakuwa amechoka.Huyu James Mbowe kutwa nzima anakesha instagramkutukana viongozi aisee.Kituko kingine ni kuwa anasaidiwa na Malisa kuandika upuuzi wake kwenye mitandao
Utasubiri sn
 
Back
Top Bottom