Zitto Kabwe is Yet to be a Uniting Figure

Zitto Kabwe is Yet to be a Uniting Figure

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,265
Reaction score
4,452
Habarini:
Kwanza niombe radhi kwa kichwa cha mada,Pili niweke wazi kabisa kwamba binafsi namuheshimu sana Mh.Zitto na kwamba andiko hili kwa namna yoyote halina maana ya kumdescredit bali natumaini kama atalisoma basi atalifanyia kazi kwa kadiri aonavyo inafaa.

Nimeona nimwambie kabla mwaka haujaisha kabisa ili ajue.

Kwanza kabisa nieleze kwa ufupi ninachomaanisha,Katika ulimwengu wa siasa tunapozungumzia mtu mwenye nguvu ya kuunganisha watu basi tunazungumzi mtu ambaye ana haiba,hamasa na mvuto wa kipekee na hivyo ana uwezo wa kuwaleta karibu watu tofauti na kuwaweka pamoja.Hili silioni kwa Ndugu Zitto.

Sitaki kujadili watu au matukio yanayomhusu Zitto Kabwe ila nateka niweke misingi ya kufuata ili uweze kuwa uniting figure ni ipi.

  • Kwa mwana siasa anayetaka kukua,Zitto Kabwe hana sababu ya kuchukua credit kwa kila jambo,anapaswa kujifunza ama kuacha wengine wachukue credit na kukua ama basi wachukue collective credit.
  • Ni vizuri kwa mwanasiasa kuwa na personal opinions na kuexpress opinions hizo.Lakini kama unataka kuwa uniting figure basi some opinions inabidi uziweke moyoni.Kuna mambo ambayo ni vivid kila mtu anayaona na kama mwanasiasa uliyekomaa huna haja ya kuyatolea opinion isipokuwa tu kama yana direct impact kwenye maslahi yako ya kisiasa
  • Ili uweze kuwa uniting figure unapaswa ujifunze kuchagua marafiki na sio marafiki wakuchague.Hauna haja ya kuwa attention seeker,wakati mwingine kwepa kushiriki katika baadhi ya matukio hasa kama hayana maslahi katika safari yako ya kisiasa.
  • Ni vizuri mwanasiasa ukasoma upepo kabla ya kulisemea jambo,kulisemea jambo wa kwanza haikufanyi uonekana mwerevu kwani katika safari ya siasa the slow and steady wins the race.
  • Kwa kuwa nimesikia tetesi kuwa Zitto Kabwe ana hamu sana ya kugombea Urais.Nitoe tu ushauri kwake aachane na hiyo ajenda kwa sasa.Anachopaswa kufanya kwa sasa ni kuandaa watu watakoweza kugombea nafasi hizo.Yeye kugombea urais basi asubiri akifikisha 50 yrs ila before then ajenge chama kwanza
  • Chama Chake kinayumba na yeye anajua sababu kubwa ni yeye,Pamoja na kujaribu kuuaminisha umma kwamba ACT iko imara lakini kitendo cha Mwenyekiti wa Chama ambaye pia alikuwa mgombea wa chama na mwanzilishi wa chama kutoka katika chama katika mazingira ya kutatanisha basi ni dhairi kuwa Zitto Kabwe hajaweza kuwapa watu Tumaini la mabadiliko wanayotaka
I stand to be corrected,and this article is neither a smear campaign nor an insult it is just a honest opinion of a person who thinks they understand each and everything although deep inside they may be totally wrong.

Wasalaam

PBK
 
..Yote uliyosema ni mambo ya msingi.

..Zitto arudi nyumbani CDM.

..mazingira ya kisiasa ni magumu sana kwa vyama vidogo kama ACT, TLP, UDP, etc.
 
naunga mkono hoja , kama kwel zitto ana dream ya kuwa Rais wa nchi hii ni kher arud nyumban CDM sema tu akirud aacha sasa ule undumilakuwili wake
 
Habarini:
Kwanza niombe radhi kwa kichwa cha mada,Pili niweke wazi kabisa kwamba binafsi namuheshimu sana Mh.Zitto na kwamba andiko hili kwa namna yoyote halina maana ya kumdescredit bali natumaini kama atalisoma basi atalifanyia kazi kwa kadiri aonavyo inafaa.

Nimeona nimwambie kabla mwaka haujaisha kabisa ili ajue.

Kwanza kabisa nieleze kwa ufupi ninachomaanisha,Katika ulimwengu wa siasa tunapozungumzia mtu mwenye nguvu ya kuunganisha watu basi tunazungumzi mtu ambaye ana haiba,hamasa na mvuto wa kipekee na hivyo ana uwezo wa kuwaleta karibu watu tofauti na kuwaweka pamoja.Hili silioni kwa Ndugu Zitto.

Sitaki kujadili watu au matukio yanayomhusu Zitto Kabwe ila nateka niweke misingi ya kufuata ili uweze kuwa uniting figure ni ipi.

  • Kwa mwana siasa anayetaka kukua,Zitto Kabwe hana sababu ya kuchukua credit kwa kila jambo,anapaswa kujifunza ama kuacha wengine wachukue credit na kukua ama basi wachukue collective credit.
  • Ni vizuri kwa mwanasiasa kuwa na personal opinions na kuexpress opinions hizo.Lakini kama unataka kuwa uniting figure basi some opinions inabidi uziweke moyoni.Kuna mambo ambayo ni vivid kila mtu anayaona na kama mwanasiasa uliyekomaa huna haja ya kuyatolea opinion isipokuwa tu kama yana direct impact kwenye maslahi yako ya kisiasa
  • Ili uweze kuwa uniting figure unapaswa ujifunze kuchagua marafiki na sio marafiki wakuchague.Hauna haja ya kuwa attention seeker,wakati mwingine kwepa kushiriki katika baadhi ya matukio hasa kama hayana maslahi katika safari yako ya kisiasa.
  • Ni vizuri mwanasiasa ukasoma upepo kabla ya kulisemea jambo,kulisemea jambo wa kwanza haikufanyi uonekana mwerevu kwani katika safari ya siasa the slow and steady wins the race.
  • Kwa kuwa nimesikia tetesi kuwa Zitto Kabwe ana hamu sana ya kugombea Urais.Nitoe tu ushauri kwake aachane na hiyo ajenda kwa sasa.Anachopaswa kufanya kwa sasa ni kuandaa watu watakoweza kugombea nafasi hizo.Yeye kugombea urais basi asubiri akifikisha 50 yrs ila before then ajenge chama kwanza
  • Chama Chake kinayumba na yeye anajua sababu kubwa ni yeye,Pamoja na kujaribu kuuaminisha umma kwamba ACT iko imara lakini kitendo cha Mwenyekiti wa Chama ambaye pia alikuwa mgombea wa chama na mwanzilishi wa chama kutoka katika chama katika mazingira ya kutatanisha basi ni dhairi kuwa Zitto Kabwe hajaweza kuwapa watu Tumaini la mabadiliko wanayotaka
I stand to be corrected,and this article is neither a smear campaign nor an insult it is just a honest opinion of a person who thinks they understand each and everything although deep inside they may be totally wrong.

Wasalaam

PBK
Exactly! big up brother!, kama hata elewa huu ushauri basi hakuna namna, hajioni mnamuona vizuri Sana
 
Umesema Mwenyekiti wa Chama katoka katika mazingira ya kutatanisha? Hivi uko seriousy na ulichoandika?

Iko hivi Mwenyekiti wao aliteuliwa kuwa RC KLM wao wakamwambia ajitafakari kama anaweza kuendelea kuwa mwanachama wao

Aliyekuwa mshauri nae aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa wizara ya Maji na Mwigamba tuliambiwa sababu ya kuondoka kwake ni baada ya kutaka kukizuia chama kisimkosoe Rais Magufuli

Hizo ndiyo sababu zilizoelezwa sasa ukisema hazijulikani utakuwa huwatendei haki na andiko lote linakosa uhalali wa kukubalika kama lina nia njema kwa mshauriwa
 
Zito ni mwana ccm
Nawashangaa msivyo na akili hata kushindwa ku unlock puzzle rahisi hivi.
Zito ni ccm na anatumika vizuri sana.
Zito na lipumba cv yao ni inafanana
Wenye akili watanielewa
 
Habarini:
Kwanza niombe radhi kwa kichwa cha mada,Pili niweke wazi kabisa kwamba binafsi namuheshimu sana Mh.Zitto na kwamba andiko hili kwa namna yoyote halina maana ya kumdescredit bali natumaini kama atalisoma basi atalifanyia kazi kwa kadiri aonavyo inafaa.

Nimeona nimwambie kabla mwaka haujaisha kabisa ili ajue.

Kwanza kabisa nieleze kwa ufupi ninachomaanisha,Katika ulimwengu wa siasa tunapozungumzia mtu mwenye nguvu ya kuunganisha watu basi tunazungumzi mtu ambaye ana haiba,hamasa na mvuto wa kipekee na hivyo ana uwezo wa kuwaleta karibu watu tofauti na kuwaweka pamoja.Hili silioni kwa Ndugu Zitto.

Sitaki kujadili watu au matukio yanayomhusu Zitto Kabwe ila nateka niweke misingi ya kufuata ili uweze kuwa uniting figure ni ipi.

  • Kwa mwana siasa anayetaka kukua,Zitto Kabwe hana sababu ya kuchukua credit kwa kila jambo,anapaswa kujifunza ama kuacha wengine wachukue credit na kukua ama basi wachukue collective credit.
  • Ni vizuri kwa mwanasiasa kuwa na personal opinions na kuexpress opinions hizo.Lakini kama unataka kuwa uniting figure basi some opinions inabidi uziweke moyoni.Kuna mambo ambayo ni vivid kila mtu anayaona na kama mwanasiasa uliyekomaa huna haja ya kuyatolea opinion isipokuwa tu kama yana direct impact kwenye maslahi yako ya kisiasa
  • Ili uweze kuwa uniting figure unapaswa ujifunze kuchagua marafiki na sio marafiki wakuchague.Hauna haja ya kuwa attention seeker,wakati mwingine kwepa kushiriki katika baadhi ya matukio hasa kama hayana maslahi katika safari yako ya kisiasa.
  • Ni vizuri mwanasiasa ukasoma upepo kabla ya kulisemea jambo,kulisemea jambo wa kwanza haikufanyi uonekana mwerevu kwani katika safari ya siasa the slow and steady wins the race.
  • Kwa kuwa nimesikia tetesi kuwa Zitto Kabwe ana hamu sana ya kugombea Urais.Nitoe tu ushauri kwake aachane na hiyo ajenda kwa sasa.Anachopaswa kufanya kwa sasa ni kuandaa watu watakoweza kugombea nafasi hizo.Yeye kugombea urais basi asubiri akifikisha 50 yrs ila before then ajenge chama kwanza
  • Chama Chake kinayumba na yeye anajua sababu kubwa ni yeye,Pamoja na kujaribu kuuaminisha umma kwamba ACT iko imara lakini kitendo cha Mwenyekiti wa Chama ambaye pia alikuwa mgombea wa chama na mwanzilishi wa chama kutoka katika chama katika mazingira ya kutatanisha basi ni dhairi kuwa Zitto Kabwe hajaweza kuwapa watu Tumaini la mabadiliko wanayotaka
I stand to be corrected,and this article is neither a smear campaign nor an insult it is just a honest opinion of a person who thinks they understand each and everything although deep inside they may be totally wrong.

Wasalaam

PBK
Umeandika vizuri lakini jifunze kutumia lugha moja kwenye mada, aidha Kiswahili au Kiingereza. Huu ni ushauri tu.
 
Tatizo la Zitto ni mwepesi sana ku'compromise. Kifupi na yeye ni mpiga deal wa kawaida tu.
 
naunga mkono hoja , kama kwel zitto ana dream ya kuwa Rais wa nchi hii ni kher arud nyumban CDM sema tu akirud aacha sasa ule undumilakuwili wake
Tatizo undumilakuwili wake uko damuni hawezi acha, maana anapenda kuabudiwa.
 
Zitto hana haiba ya kisisa.Tatizo lake ni kutaka sifa na kujifamya anajua kila kitu.
 
Back
Top Bottom