Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.
"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, "I acted alone…I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway."
Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?
Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)
Nyie mnaofikiri plan imeshindwa subirini kimbunga kinachovuma kimya kimya, CCM wenye akili wanajua what is going to happen ndio maana wako kimya.By Kintiku
Ile move ilishindwa kwa vile Zitto alii personalize mno.....alitaka kuitumuia kumfikisha kwenye kilele cha mafanikio. . Kama kweli alikuwa serious mbona leo kimya si angalau angetupa taarifa what is next, maana watu wamekuwa puzzled wanahitaji maelekezo mapya. Nashauri CDM wajenga hoja kuwa kwa vile PM hajaondolewa, na mawaziri hawajajiuzulu basi next move iwe maanadamano hadi kieleweke
"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, "I acted alone…I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway."
Nimerudia tena kusoma hili gazeti-ninalo, ni kweli Zitto kasema hivyo, I wonder...hiyo phrase ya Norway sidhani kama ilikuwa muhimu!
Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.
"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, I acted alone I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway.
Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?
Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)
Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.
"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, "I acted alone…I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway."
Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?
Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)