Zitto Kabwe: Chickens coming home to roost

Zitto Kabwe: Chickens coming home to roost

Hakuna cha kuku wala bata kurejea bandani. Zitto na Slaa na wengineo wa dizaini yao wanajijua kilichowatokea. Kuna mstari ukiuvuka basi usitarajie matokeo tofauti na yaliyotokea. Ndio maana kuna waliokuwa wakitabiri tarehe kamili za CHADEMA kufa kwa kujiamini kabisa bila kujua kuwa upande wa pili nako kuna wajanja wanasoma miondoko ya mambo kimyakimya tu.
 
Sawa ZITTO alikuwa bora kuliko Slaa ila wote mliishia mikononi mwa CCM na hatimaye kuharibu future yenu kwa taifa letu.

bora zzk yeye kaamua kuficha aibu ya umamluki kwa kuanzisha chama kinacho fadhiliwa na ccm kwa siri siri,lakini padre slaa kaamua kujivua nguo kweupee na kujionyesha wazi kua ana garden love ya ccm.Ukizoea kuasi ipo siku utaziasi mpaki nyeti zako.
 
Back
Top Bottom