Zitto Kabwe asema Rais Magufuli ameliingizia taifa hasara ya bilion 36 tangu awe Rais

Hukuna hasara ndogo labda ingekua ni faida hata hasara ya shillingi mia ni kubwa
 
Issue za IPTL ni mambo ya kisheria yana taratibu zake sio kuamua tu, after all kalikuta hajali litengeneza yeye.
Huyo mheshimiwa Kama mbunge anapaswa kupeleka hoja bungeni ijadiliwe then a good way of solving that issue inaweza patikana.Hizi lawama naona hazina na nafasi kabisaaa
"HAPA KAZI TU"

kwa bunge.lipi hilo? hilo bunge lililogeuka kibogoyo?
 
Si Bunge lipo; wabadili Sheria au wachukue maamuzi ya kushughulikia matatizo yaliyoko kwenye Executive Branch. Ndio maana ya demokrasia. Na pia kama kuna kitu kinafanyika kinyume cha sheria kuna mahakama. Kumlaumu Magufuli kwa kitu ambacho hawezi kukitolea executive decision tu italeta mengine. Rais anaweza kutumia madaraka yake lakini fikiria hayo maneno mengine yatakayokuja.

Binafsi ningependa kusikia pendekezo la Rais anatakiwa kufanya nini na vipi kuzuia malipo haya. Inawezekana ikamsaidia Rais.
Bunge gani? Bunge lisilo kua na meno!
 
kwa hiyo tuache mambo yaendelee tu?ila angesema lema au mbowe ungefurahi?
Hapana nadhan akna chenge wakae waone jinsi ya kureview hyo kitu.

nakumbuka siku JPM ameenda kuweka jiwe la msing Kinyerez alizungumzia huo mkataba na akasema niwa hovyo. ila week badae kampuni ya hayo mamitambo ilijiwah mahakamani ufaransa kutaka kuishtak tanesco kwa kuvunja mkataba
 
Hili suala tayari, kuna actions zinafanyika, Tuwe na subra.
Mh. Zitto hili suala liko mezani siku nyingi.
(au nakosea s i Lile la kubadilisha mfumo wa kufua umeme na kusafilisha gesi na kuwauzia Tanesco kwa bei kubwa wakati gesi ni yetu?) .
Au?
 
Aende zake huko! Mnafiki na ndumilakuwili wakhedi, kuadi wa CCM. Waliisha mtajirisha ndo hizo guts uchwara!
 
Jamani hesabu zimekosewa mbona hasara ni ndogo kila mwezi ni 8 bilion na miezi toka achaguliwe ni miezi 20 sasa 8 billio ×10 ni bilion 80 mbona mwasema 36 ni hesabu za vipi hizo
Hasara ni 80 bilion hadi sasa

Labda IPTL wana haki zao kwenye hiyo 80B na 36b ndiyo ZIADA anbayo Ni Hasara!
 
jamani tulishinda kesi ufaransa, sasa sijui kwanini hukumu haijasajiliwa, iptl walipatikana na hatia ya kukiuka vipengele vya mkataba ikiwamo kutuachia mashine zote baada ya mkataba kuisha (na umeshaisha) na kukokotoa upya madai ya fedha zilixokuwa ktk account ya tegeta escrow nadhani tatizo la kwanza ni kwamba pesa za escrow zimeishagawanwa kwa hiyo hakuna haja ya kukokotoa wakati pesa ni hewa
 
Issue za IPTL ni mambo ya kisheria yana taratibu zake sio kuamua tu, after all kalikuta hajali litengeneza yeye.
Huyo mheshimiwa Kama mbunge anapaswa kupeleka hoja bungeni ijadiliwe then a good way of solving that issue inaweza patikana.Hizi lawama naona hazina na nafasi kabisaaa
"HAPA KAZI TU"
HATA IWEJE DALILI ZA MSHIKAJI KUSHINDWA ZIKO WAZI NA HALI YA UCHUMI NI MBAYA.
 
Mpira ni dak 90 kaka hata dak kumi ya mchezo bado usha jua timu inapoteza mchezo ? That does not apply even in football betting, utachana mikeka kinoma noma .We tulia
toa ushiriano kwa kuwajibika katika sector yako, every thing gona be alright "HAPA KAZI TU"
 
Mbona una haraka,Kusema amelitia hasara Taifa kumbe Ni jambo lilikuwepo kabla yake si sahihi.Kutia hasara Ni kusababisha hasara Hio. Hili Ni jambo la kuliangalia kwa umakini mkubwa kabla ya kufikia Maamuzi.Huu mchezo hauhitaji hasira
 
Mbona una haraka,Kusema amelitia hasara Taifa kumbe Ni jambo lilikuwepo kabla yake si sahihi.Kutia hasara Ni kusababisha hasara Hio. Hili Ni jambo la kuliangalia kwa umakini mkubwa kabla ya kufikia Maamuzi.Huu mchezo hauhitaji hasira
Kama raisi aliekusudia kubana matumizi na hiyo hela inapotea na anaiona ndio kusababisha hasara mbona wenzake waliopita walikuwa wanafanya matumizi ya fedha kwenye sherehe zia kiserekali yeye kaona kumbe inawezekana kubana sherehe na fedha husika zikajengewe barabara sasa hizi za iptl zinamshinda nini 80 bilion si angalau watoto haws wanaosoma bure wangepata uji mwaka nzima
 
Back
Top Bottom