Bro Zitto kumbuka kutoa sadaka yako ya shukurani kwa Mungu kwani usidhani ilikuwa tu kawaida if I could tell you what Isaw Mungu mwenyewe akufungue macho yako upate kuona what was to happen. Pia uelewe kuwa hii miracle ya uponyaji ni kwasababu you have a lot to do kuwasaidia watanzania, ukiamua kuwa vuguvugu Mungu ata kutapika. Muhubiri nimetimiza wajibu wangu ime baki will yako na ukikaza kumtumikia Mungu kupitia watu wake utakula mema ya nchi