Zitto huwezi kutuambia kulalamika ndo kuwajibishana, huwezi kumwajibisha mtu kama hujatambua mazuri kwanza ambayo ameyafanya maana kama kila ki2 hakiposawa na haiwezekani mtu akafanya mabaya kwa asilimia 100. Na kama cvyo basi lazima kuna mazuri, hvy lazima utambue 1, 2, 3, umefanya vzr lakini pia 4, 5 umekosea hunabudi kukaa pembeni. huo ndo utamaduni wa kuwajibishana. Jifunze maneno haya zitto yatakusaidia.