Zitto hatendewi haki ndani ya Chadema

Mbona Zitto akihesabiwa husemi?
Zitto kabwe sio mwislamu ndio maana huwezi kumuona msikitini na kwa mujibu wa uislamu huyu alitakiwa apigwe mawe hadi kufa kwa kosa la uzinzi ( kuzaa kabla ya ndoa )
 
Katika suala la udini kila mmoja wetu awe chanzo cha mabadiliko hakuna siku Tanzania itakuwa ya dini moja. Kuendekeza udini ni kuwatengenezea watoto wetu nchi yenye vita kama si leo basi kesho au hata kesho kutwa.
 
Zitto kabwe sio mwislamu ndio maana huwezi kumuona msikitini na kwa mujibu wa uislamu huyu alitakiwa apigwe mawe hadi kufa kwa kosa la uzinzi ( kuzaa kabla ya ndoa )

Mwacheni Zitto ni msahafu upi ulisema waendao kanisani na msikitini pekee ndio wataonja pepo? kanisani na msikitini kwa wengine wanakwenda kwa mazoea lakini matendo yao yanamuogopesha hata shetani.
 
Gazeti la mwanahalisi halimilikiwi na chadema,kwanza naliamini kwa reliable niuz na lipo independent,hebu mtoa hoja tueleze kiongozi wa chadema alohojiwa hapo.NAAMINI UMETUMWA KWANI HUELEWI MAANA YA MAKALA? Mwambie zitto NCCR wanamtamani sana

mwenye hisa nyingi mwanahalisi ni mkurugenzi wa fedha na utawala wa chadema na nasikia ana bifu binafsi na Zitto. hata hivyo, na sisi tuwe sehemu ya kupima hoja badala ya kuchanganya hoja na bifu lao.
 
ssi ahamie NCCR bwana..kwani misiba ikitokea anataka aambiwe na nani?si anasiki kwenye vyombo vya habari au?
 
mwanahalisi yeye siyo source ya kila kitu kwani na yeye ni mchumia tumbo ushahidi ni uda aliipotezea kwa nini?

UDA nasikia Kubenea alivuta hakuna siku mtasikia kubenea kaandika kwa kina kuhusu UDA.
 

Naona unababwaja jibu swali mambo ya CCM wewe yanakuhusu nini?

Chadema ni chama cha Kanisa?
 
UDA nasikia Kubenea alivuta hakuna siku mtasikia kubenea kaandika kwa kina kuhusu UDA.
Hivi kuuna mahakama yoyote dunia hii unayoweza kwenda kutoa ushahidi huu na ukasikilizwa, bwana mdogo umbea ni sifa ya kike achana nao.
Hapa hatuhitaji porojo.
 
Naona unababwaja jibu swali mambo ya CCM wewe yanakuhusu nini?

Chadema ni chama cha Kanisa?
CCM ndio chama cha kanisa na ndio maana kuna MoU na ndio maana kuna ubalozi wa kanisa katoliki Vatican hapa Tanzania.
 
ritz

30th January 2012 16:22
#1

JF Premium Member Array


Join Date : 1st January 2011
Posts : 4,884
Rep Power : 1241



[h=2]
Mbege nzuri inatengenezwa vipi[/h] Wanabodi,
Naitaji msaada wenu jinsi ya kutengeneza Mbege nzuri..

Yoyote mwenye kujua naomba anielekeze jinsi maandalizi yake na vifaa gani vinavyotakiwa.

Nipeni maujanja ya kutengeneza Mbege wana JF.
 

Ni ukweli usiopingika kuwa Mwanahalisi lina mahusiano ya moja kwa moja na CDM kwani mmoja wa wamiliki wake ni Bw.Antony Komu aliye Mkurugenzi wa Fedha/Utawala wa CDM na ni kweli kuwa Mwanahalisi hupokea maagizo ya moja kwa moja kutoka kwa Mbowe & Co. kumwandika vibaya Zitto!
 
mh zitto hana shida ni mtu makini sana,sema kuna wana cdm hawapendi kuelezwa ukweli
 
CCM ndio chama cha kanisa na ndio maana kuna MoU na ndio maana kuna ubalozi wa kanisa katoliki Vatican hapa Tanzania.

Na chama gani cha siasa mgombea wake wa Urais ni Padre?
 
Udini @work........... Pole shehe!
 
Zitto Kabwe ana kiherehere sana hata juzi Juma Mkamia aliomba muongozo ili ajuwe kwamba Zitto Kabwe nae ni miongoni mwa wasemaji wa ikulu!!??
Watu wa Kigoma kwenye siasa wana matatizo sana hasa hawa ambao wamechanganyika na utusi ndani yake.

Kwa vile anatoka Kigoma basi anakiherehere?
 

Wewe kaka ni mdini sana!
 

Acha uchonganishi wewe, hivi mtaacha lini tabia za kipuuzi namna hiyo? Watu wanazungumzia mambo muhimu ya kitaifa (Migomo) wewe unaleta umbeya wako hapa. Hembu kadiscuss na familia yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…