Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,558
- 109,097
Zitto kabwe sio mwislamu ndio maana huwezi kumuona msikitini na kwa mujibu wa uislamu huyu alitakiwa apigwe mawe hadi kufa kwa kosa la uzinzi ( kuzaa kabla ya ndoa )Mbona Zitto akihesabiwa husemi?
Zitto kabwe sio mwislamu ndio maana huwezi kumuona msikitini na kwa mujibu wa uislamu huyu alitakiwa apigwe mawe hadi kufa kwa kosa la uzinzi ( kuzaa kabla ya ndoa )
Gazeti la mwanahalisi halimilikiwi na chadema,kwanza naliamini kwa reliable niuz na lipo independent,hebu mtoa hoja tueleze kiongozi wa chadema alohojiwa hapo.NAAMINI UMETUMWA KWANI HUELEWI MAANA YA MAKALA? Mwambie zitto NCCR wanamtamani sana
mwanahalisi yeye siyo source ya kila kitu kwani na yeye ni mchumia tumbo ushahidi ni uda aliipotezea kwa nini?
Kama ulikuwa hujui kanisa ndio linateuwa Rais nakupa pole sana, Lowasa. Mwakyembe, Samuel Sita, Benard Membe, je watu hawa umewaona wakifanya kampeni zao misikitini?
Hujui kwamba kanisa ndio lilisema Kikwete ni chaguo la Mungu? usipende kudandia vitu usivyovijuwa wewe kijana. ni chama cha CUF peke yake ndio chenye Memorundum of undestanding na misikiti.
Hivi kuuna mahakama yoyote dunia hii unayoweza kwenda kutoa ushahidi huu na ukasikilizwa, bwana mdogo umbea ni sifa ya kike achana nao.UDA nasikia Kubenea alivuta hakuna siku mtasikia kubenea kaandika kwa kina kuhusu UDA.
CCM ndio chama cha kanisa na ndio maana kuna MoU na ndio maana kuna ubalozi wa kanisa katoliki Vatican hapa Tanzania.Naona unababwaja jibu swali mambo ya CCM wewe yanakuhusu nini?
Chadema ni chama cha Kanisa?
1. hiyo kauli imetolewa na kiongozi yupi wa CDM ?
2.JE MWANAHALISI NI MSEMAJI WA CDM?
3.zitto anaonewa kivipi na CDM? labda useme mwanahalisi anamwonea zitto ila NAKATAA as mwanahalisi ametoa ufafanuzi mzuri so ni wajibu wa Zitto naye kutoa maelezo ya ziada incase
4.Mwanahalisi hambebi/hamkandamizi mtu yeyote ila anabeba hoja..Ikiwa JK atakuja na hoja ya maana mwanahalisi ataianisha na ikitokea Slaa kaja na pumba tutaelezwa pia
CCM ndio chama cha kanisa na ndio maana kuna MoU na ndio maana kuna ubalozi wa kanisa katoliki Vatican hapa Tanzania.
Udini @work........... Pole shehe!Kifupi katika vichwa ambavyo vinaibeba Chadema ni Zitto. Ni kijana mahiri na mara zote ana hoja nzito sana na za kiungwana zisizotawaliwa na jazba kama akina Lisu na Mnyika na wengine wengi ndani ya Bunge lenu.
Huyo kwa namna yoyote anaogopeka sana kuweza kuchukua nafasi ya juu kabisa ndani ya Chadema ndio maana sasa wameanza kumzuia zuia.
Tatizo kubwa la Zitto kwa Chadema ni kuwa hana share katika Chademe na kubwa zaidi ni ukanda aliotokea sio chimbuko lakini zito zaidi ni Dini yake.
Ushavimbiwa mbege sasa unakuja kujamba jamba hapa.Na chama gani cha siasa mgombea wake wa Urais ni Padre?
Zitto Kabwe ana kiherehere sana hata juzi Juma Mkamia aliomba muongozo ili ajuwe kwamba Zitto Kabwe nae ni miongoni mwa wasemaji wa ikulu!!??
Watu wa Kigoma kwenye siasa wana matatizo sana hasa hawa ambao wamechanganyika na utusi ndani yake.
Ushavimbiwa mbege sasa unakuja kujamba jamba hapa.
Zitto anafanyiwa kila hila iuliwe "character" yake.
Hivi Zitto anafikiri kuna siku atakuwa Katibu Mkuu au atakuwa Mwenyekiti au atakuwa mgombea Urais wa magwanda? Maaaweee! labda aukane Uislaam.
Namsikitikia sana kupoteza nguvu zake bure, lakini ndio watu wa UWT walivyo, maslahi ya Serikali mbele halafu yao halafu ya wananchi. Ingekuwa hafati "amri" saa hizi zamani angekuwa hayupo na magwanda.
Nilisoma gazeti la mwanahalisi la Jana na kuona jinsi Chadema ilivyojibu hoja ya Mh zitto Kuhusu Chanzo cha mazungumzo ya CHADEMA na rais JK.
Licha ya kuwa ile habari imetoka kwenye gazeti kama andishi, lkn ukiangalia kwa undani utagundua ilikuwa ni kauli ya Chama.
Hii tofauti na viongozi wengine wa Chama, huzungumza mengi ambayo kimsingi yanapingana na Chama.
Lakini uongozi wa juu hauchukui jitihada za kukanusha.tayari ztto alitoa makala kuhusu Uhusiano wake na Uongozi wa juu hasa baada ya kudai siku hizi hata patokee msiba haambiwi
jee kwanini imefikia hali hii