Zitto Anataka kusema nini?

He! hivi kwani bado hajaondoka? Ninawaza chama kitatikisikaje tena wakati hayupo tu muda mrefu na chama kiko ngangari, labda atakapokiri kwamba sasa anatoka ndio hiyo mitikisiko itatokea?

Nahisi hivyo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…