Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,718
- 1,443
Heheheeeeee! CDM wasije wakafanya kosa kama ilo la kuingiza kirusi ndani ya chama chao. Aende zake mwanakwenda kwani alilewa sifa za kijinga na akajisahau kufikiri kama binadamu na badala yake akakubali mtu mwingine afikiri kwa niaba yake. matokeo yake amekua akikokotwa kama kondooo.
Jina lako linajitosheleza
Zitto Kabwe swahiba na mshirika wa karibu wa mbunge aliyetimuliwa kwenye chama chake Kafulila,ameweka wazi kutojihusisha na sakata la kafulila kwa namna yoyote.Akiweka maelezo kwenye ukarasa wake wa Facebook ameshindwa kujitetea kuhusu tuhuma za yeye kuwaita polisi.Hata hivyo ameelezea kuwa huwa mara zote yuko upande wa mtu anayeonewa na mnyonge. Mwisho ameweka wazi Kafulila anakaribishwa CDM na kwamba hakufukuzwa hivyo katiba ya Chadema ipo wazi anakaribishwa source FB
Anarudi kufanya nini wakati alisema CDM ni chama cha kikanda?faida ya kuropoka ndio hiyo.Kama alipiga magoti kwa Mbatia basi awapigie magoti wana CDM kwa maneno yake ya kebehi ili asamehewe.Bado yeye ni kijana mpambanaji ila tuu nidhamu ni ziro.
Zitto?!!