Acha kutukana watu wewe mbona unatuma vitu vya kihuni humu utadhani sijui tuko kijiweni kwa wavuta bhangi,Zito awe first lady ki vipi,tuwe na heshima na ustaarabu,jamvini humu wapo watu wenye heshima kubwa sana ktk jamii,kama huna kitu cha kuandika/kuchangia kaa kimya.