Malisa Godlisten
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 202
- 1,588
"Awamu zote nne zilizopita tumeongozwa na wanaume, this time tunataka Mwanamke. Tunamtaka Mama. Twende na mama." ZZK, 30/08/2015, Dar.
My TAKE.!
Sikutegemea mwanasiasa wa muda mrefu kama Zitto anaweza kuongea cheap politics kiasi hiki. Watanzania tunataka Rais hatutaki mwanamke wala mwanaume. Tukipata Rais mwenye vision awe mwanamke au mwanaume WHO CARES?
Yani tunaacha hoja tunazungumza jinsia? Kwa hiyo ACT kimeacha kuwa chama cha siasa kimegeuka kuwa Mtandao wa jinsia? Bunge lililopita liliperform vibaya sn kwa sababu kama hizi za ZZK. Tulitaka Spika tukapewa Mwanamke. Matokeo yake kila mtu anajua.
Kwa maoni yangu naamini mgombea wa ACT mama Mghwira ana sifa na uwezo wa kuongoza. So ni vizuri ZZK akamnadi mgombea wake kwa uwezo wake si kwa jinsia yake. Kumnyima mtu nafasi kwa sababu ya jinsia yake ni UBAGUZI, na kumpa mtu nafasi kwa sababu ya jinsia yake ni UBAGUZI pia. So Zitto acha ubaguzi. Mnadi mgombea wako kwa hoja, mambo ya jinsia waachie TGNP.!
My TAKE.!
Sikutegemea mwanasiasa wa muda mrefu kama Zitto anaweza kuongea cheap politics kiasi hiki. Watanzania tunataka Rais hatutaki mwanamke wala mwanaume. Tukipata Rais mwenye vision awe mwanamke au mwanaume WHO CARES?
Yani tunaacha hoja tunazungumza jinsia? Kwa hiyo ACT kimeacha kuwa chama cha siasa kimegeuka kuwa Mtandao wa jinsia? Bunge lililopita liliperform vibaya sn kwa sababu kama hizi za ZZK. Tulitaka Spika tukapewa Mwanamke. Matokeo yake kila mtu anajua.
Kwa maoni yangu naamini mgombea wa ACT mama Mghwira ana sifa na uwezo wa kuongoza. So ni vizuri ZZK akamnadi mgombea wake kwa uwezo wake si kwa jinsia yake. Kumnyima mtu nafasi kwa sababu ya jinsia yake ni UBAGUZI, na kumpa mtu nafasi kwa sababu ya jinsia yake ni UBAGUZI pia. So Zitto acha ubaguzi. Mnadi mgombea wako kwa hoja, mambo ya jinsia waachie TGNP.!