Sir Khan
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 5,776
- 11,645
ina maana hujui lolote kuhusu mfuko wa dharura au unajitoa akili tu?Huwezi kumwelewa zitto maana umande ulikutesa sana kipindi icho na kwa kupewa elimu kidogo tu bajeti inayotumika sasa ni ya 17/18 So hakukua na hili swala la ununuzi wa korosho kwa iyo ili liwekwe sawa serikali inatakiwa kwenda kuomba bungeni hizo pesa bil600
Nani alijadili ununuzi wa ndege bungeni?

