Zito unatuchanganya sasa

Zito unatuchanganya sasa

View attachment 928869

Magufuli aliposema atanunua Korosho kama wafanyabiashara hawatanujua mliona anatania eeh!
Wafanyabiashara wamegoma kununua juzi na jana bungen ukawa unainanga serikali kuwa ilisema itanunua inunue
Leo umeona JPM kasema anaenda kuzinunua umeanza kugeuka mswaada uletwe bungen
Uletwe kufanyaje? Yaan always unaombea serikali ifail? Kwan hii nchi sio yako? Mbona unaiombea mabaya?

Korosho ikinunuliwa hela itaenda kwa nan kama sio wananchi? Badae serikali ikiiuza hela si itarud?

WAPINZAN UKIWASIKILIZA SANA HUTAFANYA VITU VYA MAANA
Mlozi wa Ujiji Uwaga Ni Kigeugeu
 
View attachment 928869

Magufuli aliposema atanunua Korosho kama wafanyabiashara hawatanujua mliona anatania eeh!
Wafanyabiashara wamegoma kununua juzi na jana bungen ukawa unainanga serikali kuwa ilisema itanunua inunue
Leo umeona JPM kasema anaenda kuzinunua umeanza kugeuka mswaada uletwe bungen
Uletwe kufanyaje? Yaan always unaombea serikali ifail? Kwan hii nchi sio yako? Mbona unaiombea mabaya?

Korosho ikinunuliwa hela itaenda kwa nan kama sio wananchi? Badae serikali ikiiuza hela si itarud?

WAPINZAN UKIWASIKILIZA SANA HUTAFANYA VITU VYA MAANA
Bunge halina kitu siku hizi!bora huo mhimili ufutwe rasmi katika katiba
Zitto
 
Serikali inafanya biashara siku hizi?? Pesa za wavuja jashoo zinaenda kufukiwa!
Pesa ya wavuja jasho inarudi kwa wakulima (ambao ndio wavuja jasho wa ukweli)
 
View attachment 928869

Magufuli aliposema atanunua Korosho kama wafanyabiashara hawatanujua mliona anatania eeh!
Wafanyabiashara wamegoma kununua juzi na jana bungen ukawa unainanga serikali kuwa ilisema itanunua inunue
Leo umeona JPM kasema anaenda kuzinunua umeanza kugeuka mswaada uletwe bungen
Uletwe kufanyaje? Yaan always unaombea serikali ifail? Kwan hii nchi sio yako? Mbona unaiombea mabaya?

Korosho ikinunuliwa hela itaenda kwa nan kama sio wananchi? Badae serikali ikiiuza hela si itarud?

WAPINZAN UKIWASIKILIZA SANA HUTAFANYA VITU VYA MAANA
Kwani serikali inanunua kwa pesa za nani kama sio kodi zetu??
Hivi ninyi CCM huwa mnafikiria kwa kutumia nini?
Kwa kifupi ni kuwa kodi zetu zinapangiwa matumizi bungeni na si vinginevyo.....
Magufuli binafsi hana hio hela.
 
I do wonder.. Unamsikiliza Zitto au Tundu Lissu? Huwezi jua hata wanataka nn.. Kinyonga ana nafuu..!! Uzuri Mh. Rais wetu ni mtu wa kazi anajua anafanya nn, hababaiki na hao..!!
 
Wala hawahitaji kukumbushwa na Zitto nini cha kufanya.Magufuli mwenyewe kawa mbunge kwa miaka zaidi ya 20 kwahiyo kama yeye hajui sheria inamtalka afanye nini, basi ajitafakari kama anafaa kuendelea kuwa Raisi yeyw mwenyewe na hata washauri wake nao wajipime kama wanafaa.

Hii ni aibu kwa serikali iliyojaa maprofesa na madokta ikwa jambo dogo kama hili wanasubiri kukumbushwa na wapinzani na hii maana yake Zitto ni smart kuliko wao.


Msukuma hakukosea kuwaponda wasomi wa nchi hii.
 
Serikali ilishatoa tamko bungeni on how to end huo mgogoro na bunge likaipokea taarifa ya PM...huu sio muda wa blah blah ni vitendo tu
Unataka 1.5T nyingine zikose maelezo?
 
View attachment 928869

Magufuli aliposema atanunua Korosho kama wafanyabiashara hawatanujua mliona anatania eeh!
Wafanyabiashara wamegoma kununua juzi na jana bungen ukawa unainanga serikali kuwa ilisema itanunua inunue
Leo umeona JPM kasema anaenda kuzinunua umeanza kugeuka mswaada uletwe bungen
Uletwe kufanyaje? Yaan always unaombea serikali ifail? Kwan hii nchi sio yako? Mbona unaiombea mabaya?

Korosho ikinunuliwa hela itaenda kwa nan kama sio wananchi? Badae serikali ikiiuza hela si itarud?

WAPINZAN UKIWASIKILIZA SANA HUTAFANYA VITU VYA MAANA
Mkuu Mubby777, upinzani wa Nchi hii ni bure kabisa. Huyu Zitto kuna wakati alikuwa anaonekana angalau, lakini tangu aanze kuongoza Chama chake kupitia smartphone amekuwa bure kabisa.

Huku kutumika kwa hawa wapinzani kunawaweka mahali pa hovyo sana, hawana agenda yoyote ya Kisiasa ya kujenga, walichobakiwa nacho ni kusubiri matukio ili wapenyeze fitina tu.

Hii mijitu ni hopeless kabisa.
 
Yeye ni muhimili uliojichimbia chini sana, hata akileta bungeni hakuna atakayekataa, hizo formalities atazifanya baadaye, kwani zike Trillions kuna mtu kamgusa?
 
Unataka maelezo gani zaidi ...wewe ni mkulima wa korosho?

Mimi sio mkulima wa korosho, ila ni mnunuzi

1541861979615.png
 
View attachment 928869

Magufuli aliposema atanunua Korosho kama wafanyabiashara hawatanujua mliona anatania eeh!
Wafanyabiashara wamegoma kununua juzi na jana bungen ukawa unainanga serikali kuwa ilisema itanunua inunue
Leo umeona JPM kasema anaenda kuzinunua umeanza kugeuka mswaada uletwe bungen
Uletwe kufanyaje? Yaan always unaombea serikali ifail? Kwan hii nchi sio yako? Mbona unaiombea mabaya?

Korosho ikinunuliwa hela itaenda kwa nan kama sio wananchi? Badae serikali ikiiuza hela si itarud?

WAPINZAN UKIWASIKILIZA SANA HUTAFANYA VITU VYA MAANA
Suala ni mfumo wa ununuaji
 
Huwezi kumwelewa zitto maana umande ulikutesa sana kipindi icho na kwa kupewa elimu kidogo tu bajeti inayotumika sasa ni ya 17/18 So hakukua na hili swala la ununuzi wa korosho kwa iyo ili liwekwe sawa serikali inatakiwa kwenda kuomba bungeni hizo pesa bil600
hapana acha kuunga mkono ujinga wa Zitto,hili ni jambo la dharura sasa huo mswaada hadi uje upite si korosho zitakuwa zimeshaooza?acheni ujinga bana.Mnataka wakulima waumie hadi lini,yeye Zitto ni kabaila ,bepari na bwanyenye ndio maana hajui shida za wakulima wa korosho ambao hutegemea korosho kwa kuendesha maisha yao,au alitaka ziuzwe kwa TZS 1000 kwa kilo?tatizo li wapi kama serikali imeamua kununua korosho moja kwa moja.Halafu hawa hawa akina Zitto hujifanya kuwatetea wakulima ,je huko ndio kuwatetea?utawala wa sheria kwenye korosho sio huko kwingine mbona hatusikii huo utawala wa sheria
 
View attachment 928869

Magufuli aliposema atanunua Korosho kama wafanyabiashara hawatanujua mliona anatania eeh!
Wafanyabiashara wamegoma kununua juzi na jana bungen ukawa unainanga serikali kuwa ilisema itanunua inunue
Leo umeona JPM kasema anaenda kuzinunua umeanza kugeuka mswaada uletwe bungen
Uletwe kufanyaje? Yaan always unaombea serikali ifail? Kwan hii nchi sio yako? Mbona unaiombea mabaya?

Korosho ikinunuliwa hela itaenda kwa nan kama sio wananchi? Badae serikali ikiiuza hela si itarud?

WAPINZAN UKIWASIKILIZA SANA HUTAFANYA VITU VYA MAANA
Amachosema zito,ni kuwa,serikali inunue kwa kufiata taratibu,siyo utadhani fedha ni za kitoa mfukoni mwake
 
Back
Top Bottom