Chochote kinawezekana. Mambo ya sasa nchini si kama zamani...hata waliokosa masikio, macho, na milango mingine ya fahamu zama za nyuma sasa wameanza kurejewa na milango yao ya fahamu, na wapigakura wao nao wanawakodolea macho kwa kila jambo ili wawaadabishe wale wasiosikiliza wa kujali maslahi na kilio chao. Mungu ibariki Tanzania.