Ethan Cruz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2021
- 231
- 331
- Thread starter
- #41
๐คฃ๐คฃ to much mkuu usiwanyase nyase bn hahahahujinga wa nini? ina maana hata shavings huwa hufanyi, na ukifanya huwa hujiangalii, unajionea aibu mwenyewe? kuchukua kioo, unachuchumaa na kuangalia maungo yako ni ujinga? sawa na ex wangu fulani wa zamani huko alikuwa anasema ujinga wa kusafisha....hatakuja kuufanya kisingizio anaona kama atakuwa anajipiga madole, mwisho wa siku ndo mnakuwa fishy kwasababu utoko unagandamana huko ndani hadi unaota ukoko, wewe kama mtu mzima tunajua sio virgin iyo kitu ina thamani tena? isafishe, ichunguze, na ipende hivyo hivyo ilivyo na sura mbaya. sisi tutaangalia uso wako, sura ya iyo kitu Mungu aliwahurumia imebaki sehem ya siri. ila zingebandikwa usoni hapo, kiburi chenu chote kingeisha.