kukumega
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 1,134
- 475
Oya jadili mada basiWabunge wa CCM nilishawatoa akilini kama ni wapigania RASLIMALI zetu.Hawa watu wa ndiyoooooooooooooooooooooooooooooooooo bila kufanya tafakari zaidi.Miswada hii ilitakiwa wanasheria waidadavue vizuri ili iwe inanguvu zaidi.
Kwenye Katiba yetu inaweka wazi kabisa haki ya raslimali zetu lakini Majambazi ya CCM yakatengeneza ya kwao wakaipeleka kwa HATI ya dharula leo tunapigw akama wendawazimu tu.
Miswada ya sheria ilitakiwa iwe inapewa muda wa kujadiliwa hasa na wanataaluma bila kujali itikadi zao.Kwetu tumeweka chama kwanza Taifa baadaye.Usimshangaye Jenista Mhagama hawana tofauti na Musukuma na Kibajaji