Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,910
- 6,706
Huu nao ni uchawiWatafiti wa maswala ya Paranormal ability, wanashauri kwamba.
1.Unapo lala hakikisha kwamba, sehemu zote za kona katika chumba chako uwe umeweka kitu chochote ,zisiwe patupu kwasababu wana amini roho chafu kama wachawi na ghosts wanatumia kona kama njia ya kuingilia ndani.
2.Wanashauri usipende kulala na taa ikiwa imewashwa ,kwasababu usiku roho chafu/ghosts wanapenda sana kutembelea sehemu zile angavu.
3.Wanashauri pia, usipende kuweka sehemu yako ya kulalia igusane na ukuta mfano kitanda hakitakiwi kugusa ukuta kwasababu wana amini roho chafu/ghosts wanapendelea kusimama sehemu zile za ukuta.
4.Mwisho usipende kuacha kiti wazi usiku, wakati unapolala ,unashauriwa kuweka chochote kitu juu yake...
Ndo njia yao iyo unakuwa umeweka uzio!Kwahiyo mkuu ukiweka hivyo vitu kwenye kona za nyumba wachawi hawaingii
Watafiti including mimi na team yangu practicing esoteric mythologyWatafiti weka link au kitabu tusome
ACHA MAWAZO YA KISHIRIKINA UTATESEKAWatafiti wa maswala ya Paranormal ability, wanashauri kwamba.
1.Unapo lala hakikisha kwamba, sehemu zote za kona katika chumba chako uwe umeweka kitu chochote ,zisiwe patupu kwasababu wana amini roho chafu kama wachawi na ghosts wanatumia kona kama njia ya kuingilia ndani.
2.Wanashauri usipende kulala na taa ikiwa imewashwa ,kwasababu usiku roho chafu/ghosts wanapenda sana kutembelea sehemu zile angavu.
3.Wanashauri pia, usipende kuweka sehemu yako ya kulalia igusane na ukuta mfano kitanda hakitakiwi kugusa ukuta kwasababu wana amini roho chafu/ghosts wanapendelea kusimama sehemu zile za ukuta.
4.Mwisho usipende kuacha kiti wazi usiku, wakati unapolala ,unashauriwa kuweka chochote kitu juu yake...
Badili heading iwe 'KAMA UNAAMINI NGUVU ZA GIZA USIFANYE HAYA...'Watafiti wa maswala ya Paranormal ability, wanashauri kwamba.
1.Unapo lala hakikisha kwamba, sehemu zote za kona katika chumba chako uwe umeweka kitu chochote ,zisiwe patupu kwasababu wana amini roho chafu kama wachawi na ghosts wanatumia kona kama njia ya kuingilia ndani.
2.Wanashauri usipende kulala na taa ikiwa imewashwa ,kwasababu usiku roho chafu/ghosts wanapenda sana kutembelea sehemu zile angavu.
3.Wanashauri pia, usipende kuweka sehemu yako ya kulalia igusane na ukuta mfano kitanda hakitakiwi kugusa ukuta kwasababu wana amini roho chafu/ghosts wanapendelea kusimama sehemu zile za ukuta.
4.Mwisho usipende kuacha kiti wazi usiku, wakati unapolala ,unashauriwa kuweka chochote kitu juu yake...