Zingatia haya ili usipate matatizo nyumbani kwako

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
3,900
6,657
Watafiti wa maswala ya Paranormal ability, wanashauri kwamba.

1.Unapo lala hakikisha kwamba, sehemu zote za kona katika chumba chako uwe umeweka kitu chochote ,zisiwe patupu kwasababu wana amini roho chafu kama wachawi na ghosts wanatumia kona kama njia ya kuingilia ndani.

2.Wanashauri usipende kulala na taa ikiwa imewashwa ,kwasababu usiku roho chafu/ghosts wanapenda sana kutembelea sehemu zile angavu.

3.Wanashauri pia, usipende kuweka sehemu yako ya kulalia igusane na ukuta mfano kitanda hakitakiwi kugusa ukuta kwasababu wana amini roho chafu/ghosts wanapendelea kusimama sehemu zile za ukuta.

4.Mwisho usipende kuacha kiti wazi usiku, wakati unapolala ,unashauriwa kuweka chochote kitu juu yake...
 
Watafiti wa maswala ya Paranormal ability, wanashauri kwamba.

1.Unapo lala hakikisha kwamba, sehemu zote za kona katika chumba chako uwe umeweka kitu chochote ,zisiwe patupu kwasababu wana amini roho chafu kama wachawi na ghosts wanatumia kona kama njia ya kuingilia ndani.

2.Wanashauri usipende kulala na taa ikiwa imewashwa ,kwasababu usiku roho chafu/ghosts wanapenda sana kutembelea sehemu zile angavu.

3.Wanashauri pia, usipende kuweka sehemu yako ya kulalia igusane na ukuta mfano kitanda hakitakiwi kugusa ukuta kwasababu wana amini roho chafu/ghosts wanapendelea kusimama sehemu zile za ukuta.

4.Mwisho usipende kuacha kiti wazi usiku, wakati unapolala ,unashauriwa kuweka chochote kitu juu yake...
Huu nao ni uchawi
 
Watafiti wa maswala ya Paranormal ability, wanashauri kwamba.

1.Unapo lala hakikisha kwamba, sehemu zote za kona katika chumba chako uwe umeweka kitu chochote ,zisiwe patupu kwasababu wana amini roho chafu kama wachawi na ghosts wanatumia kona kama njia ya kuingilia ndani.

2.Wanashauri usipende kulala na taa ikiwa imewashwa ,kwasababu usiku roho chafu/ghosts wanapenda sana kutembelea sehemu zile angavu.

3.Wanashauri pia, usipende kuweka sehemu yako ya kulalia igusane na ukuta mfano kitanda hakitakiwi kugusa ukuta kwasababu wana amini roho chafu/ghosts wanapendelea kusimama sehemu zile za ukuta.

4.Mwisho usipende kuacha kiti wazi usiku, wakati unapolala ,unashauriwa kuweka chochote kitu juu yake...
ACHA MAWAZO YA KISHIRIKINA UTATESEKA
 
Watafiti wa maswala ya Paranormal ability, wanashauri kwamba.

1.Unapo lala hakikisha kwamba, sehemu zote za kona katika chumba chako uwe umeweka kitu chochote ,zisiwe patupu kwasababu wana amini roho chafu kama wachawi na ghosts wanatumia kona kama njia ya kuingilia ndani.

2.Wanashauri usipende kulala na taa ikiwa imewashwa ,kwasababu usiku roho chafu/ghosts wanapenda sana kutembelea sehemu zile angavu.

3.Wanashauri pia, usipende kuweka sehemu yako ya kulalia igusane na ukuta mfano kitanda hakitakiwi kugusa ukuta kwasababu wana amini roho chafu/ghosts wanapendelea kusimama sehemu zile za ukuta.

4.Mwisho usipende kuacha kiti wazi usiku, wakati unapolala ,unashauriwa kuweka chochote kitu juu yake...
Badili heading iwe 'KAMA UNAAMINI NGUVU ZA GIZA USIFANYE HAYA...'
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom