Zingatia haya ili usipate matatizo nyumbani kwako

Watafiti wa maswala ya Paranormal ability, wanashauri kwamba.

1.Unapo lala hakikisha kwamba, sehemu zote za kona katika chumba chako uwe umeweka kitu chochote ,zisiwe patupu kwasababu wana amini roho chafu kama wachawi na ghosts wanatumia kona kama njia ya kuingilia ndani.

2.Wanashauri usipende kulala na taa ikiwa imewashwa ,kwasababu usiku roho chafu/ghosts wanapenda sana kutembelea sehemu zile angavu.

3.Wanashauri pia, usipende kuweka sehemu yako ya kulalia igusane na ukuta mfano kitanda hakitakiwi kugusa ukuta kwasababu wana amini roho chafu/ghosts wanapendelea kusimama sehemu zile za ukuta.

4.Mwisho usipende kuacha kiti wazi usiku, wakati unapolala ,unashauriwa kuweka chochote kitu juu yake...
Ukishapiga dua yako inatosha usiache viti wazi ina maana ukae usilale au..
 
Huyo Roho chafu Mwambie aje kwangu aone jinsi atakavyokuwa Roho safi.
 
Watu bado wanaamini hizi story za danganya toto sijui ghosts/roho chafu/majini/mizimu/wanga! Miafrika bado tuna safari ndefu
 
Watafiti wa maswala ya Paranormal ability, wanashauri kwamba.

1.Unapo lala hakikisha kwamba, sehemu zote za kona katika chumba chako uwe umeweka kitu chochote ,zisiwe patupu kwasababu wana amini roho chafu kama wachawi na ghosts wanatumia kona kama njia ya kuingilia ndani.

2.Wanashauri usipende kulala na taa ikiwa imewashwa ,kwasababu usiku roho chafu/ghosts wanapenda sana kutembelea sehemu zile angavu.

3.Wanashauri pia, usipende kuweka sehemu yako ya kulalia igusane na ukuta mfano kitanda hakitakiwi kugusa ukuta kwasababu wana amini roho chafu/ghosts wanapendelea kusimama sehemu zile za ukuta.

4.Mwisho usipende kuacha kiti wazi usiku, wakati unapolala ,unashauriwa kuweka chochote kitu juu yake...

Usiangaliane na kioo wakati wa kulala!
Hii je? Maana mm lazima nifunike kioo wkt wa kulala
 
Hizo roho chafu zinapenda usku kuliko mchana maana usiku Kuna Giza

Hapo kwenye kuweka kitu juu ya kiti ukiwa umelala kwani hao roho chafu hawawezi kutoa hicho kitu ulichoweka juu ya kiti ?

Yan roho chafu iweze kusafiri bila kuonekana alafu ishindwe kupita kwenye Kona ya ukuta kisa tu umeegesha mtwangio??
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom