tighasokolo
Member
- Jul 29, 2015
- 16
- 2
Wadau, kama channel 10, itaendelea kuleta wachambuzi ambao ni bias , kama Humphrey polepole, ni lazima tuikache hii TV kama tulivyo ikataa TBC na star TV , huyu jamaa kutumwa ila amekula vidonge vyake humu jamii forum na walio mpigia simu wamemchana, huyu jamaa siyo mchambuzi huwezi kumshambulia MTU eti ni fisadi , kwamba mwaka 1995 Mwalimu nyerere alimkataa, kama alikuwa fisadi kwanini alipewa uwazili Mbele ya macho ya nyerere, Polepole anasema eti kama CCM ingepitisha mgombea mwenye tuhuma angetembea tanzania nzima kuzungumza ukweli , kapigiwa simu akaulizwa kuwa Maghufuli ni msafi? Tuhuma za kuuza nyumba za taifa ? Repoti ya CAG ? Hakujibu anabaki kusema Lowasa ni fisadi? Nafikili watanzania kwa umoja wetu watu kama hawa akina polepole tuwakatae na kuwapuuza ikiwezekana kuwazomea kabisaa , na Television zinazo leta watu wa namna hii tuzichukie na tusifuatilie vipindi vyao, Tunataka mabadiliko kama ukawa siyo wasafi waache wachukue nchi pengine itakuja kuzaliwa kitu kingine Mbele ya safali siyo ccm ituaminishe kuwa ndio wako safi wakati ni mbwa mwitu na fisi wakubwa eti taiga kubwa kama hili liongozwe na mawazo ya Nape , magufuli na kinana watanzania tunamatatizo mengi ccm mnataka mtuaminishe na tuyasahau matatizo yetu wakati Wa uchaguzi, hamtatuweza hii ni mwendo mdundo mpaka kieleweke, kama Prof.Lipumba amezingua , na Dr.Slaa bado analegalega lakini watanzania bado wanaamini katk mabadiliko ndio kwanza watu wanaongezeka itakuwa Humphrey polepole mchumia tumbo alie tumwa na CCM hamtamzuia Lowasa kuiona ikulu hii ni safari ya mabadiliko nje ya CCM , mwendo mdundo mpaka Ikulu, UKAWA PAMOJA TUTASHINDA.
MKUU sikusikia uchambuzi wake. kama ndivyo kuna haja WARYOBA kumtimua kwenye timu take ya katiba nimeamini sasa watanzania sasa hawa watu wametufanya wapumbavu vya kutosha wanazidi kunipa hasira nikalale kituoni trh 25! Yaani makongamano yote aliofanya na anayoendelea kufanya no kufisadi pesa ya mfuko wa marehemu Nyerere? kwa uelewa wangu makongamano hayo nikuelimisha wtz wakatae rasimu iliyochakachuliwa na mafisadi wa ccm Leo hao hao anawataka warudi iliwaipigie kura ya ndio. Inamaana polepole kweli hats wewe msomi mzima hujui mchi hii nini kinatusumbua unakuwa ndumilakuwili? Hakuna bamadiliko ndani ya ccm hata yesu akirudi! Mgombea yeyote was chama chochote ananadiwa na ilani iliyoandaliwa na chama husika na ilani ya ccm imesha andaliwa na akina wasira (Tyson) walewale ambao wapo toka ukoloni raising anatakiwa aitekeleze. jiulize makongamano ninayofanya ni ya nini kama sitaki chamambadala kikamate usukani? kura za maoni umeziona ccm hakuna wabunge wapya ni walewale waliokuwa wakisemabungeni ndiooo ndio wamerudi kwasababu walikuwa na fedha ya kutosha waliolipwa kwenye bunge la katiba ambalo kila siku unatembea kila mkoa kutudanganya kuwa halikutundea haki liliondoa maoni yetu kwenye rasimu. tukuaminije? Ukawa ni rasimu ya WARYOBA ndio mpango mzima baada ya uchaguzi! Ccm no kurudisha gharama walizonunua kura na watakazo endelea kununua kura ndio mpango mzima baada ya uchaguzi! Ukowapi polepole au umeshapata mgao wa escrow!!!!?