Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 2,111
- 3,975
Dawa kwa ajili ya maugomvi ya kushambuliana ama kupigana!Kuna huyu samaki hatari anayepatikana Afrika. Kwa kiswahili anaitwa Mbenga. Kwa kiingereza Tiger Fish hasa anapatikana kwenye Mto Congo na matawi yake. Hadi ziwa Tanganyika anapatikana sababu ni sehemu ya system ya mto Congo.
Ni samaki lakini ana meno kama ya mamba au wanyama wengine wakali. Pia ana magamba magumu ya kuweza hata kuhimili kuumwa na mamba.
View attachment 3592275
Inadaiwa hakuna zindiko kali kama la samaki huyu. Watu humtumia kufanya mazindiko mawili. Moja la kujilinda, hili hutumia magamba yake magumu. Na lingine la kushambulia, hili hutumia meno yake.
Meno au magamba ya samaki huyu huchomwa kwenye moto. Kisha husagwa na mtu hunywa majivu yake yakiwa yamechanganywa na dawa za mitishamba pamoja na damu.
View attachment 3592271
Wakongo wengi hutumia kinga hii. Inadaiwa mtu aliyetumia meno ya samaki huyu akianza kukushambulia ni ngumu sana kumzuia. Labda uwe ulitumia kinga ya kujilinda ya magamba mengi sana, au ya samaki mkubwa kuliko yule aliyetumia adui anayekushambulia.
Pia magamba hayo huwekwa juu ya milango ya kuingilia ndani. Wachawi na nyoka huwa hawagusi nyumba hizo. Watu wengine huwa wanavaa hirizi zenye vipande vya meno na magamba ya samaki huyu.
Wakazi wengi wanaozunguka ziwa Tanganyika wanafahamu zindiko hili. Mtu huko akimpata Mzenga anakuwa kama amepata dhahabu. Meno na magamba yake yanasoko zuri sana .
View attachment 3592272View attachment 3592274
Huko Congo waasi wanatumia sana. Na hata raia. Muda wowote unaweza jikuta unatakiwa ujitetee. Pia inasaidia kwa nyoka na wachawi.Dawa kwa ajili ya maugomvi ya kushambuliana ama kupigana!
Wewe katika maisha yako uliwahi kupigana na wangapi?
Kama ushavuka age ya utoto, mtu mzima kupigana ni nadra sana.
Najiuliza, au kuna cha naana chenye faida zaidi ya kupigana na kumshinda mgomvi wako?
Hazisaidii kitu ni psychological tu so inakupa confidence ya kupambana. Kuna waasi wanajiita Mai Mai bakata Katanga hawa walikua wanajifukiza matambiko na kwamba risasi haziwapati ila mbona walikua wanadunguliwa tu na walikua wanakufa.Huko Congo waasi wanatumia sana. Na hata raia. Muda wowote unaweza jikuta unatakiwa ujitetee. Pia inasaidia kwa nyoka na wachawi.
Hutaki zindiko Kali la samaki!Afrikq mazafaka sana ndo nini hii ktk ulimwengu huu wa teknolojia!!!
Ukipata zindiko lake usinsahau
Niende zangu kigoma sasa nikawahi zindiko, haha.Kuna huyu samaki hatari anayepatikana Afrika. Kwa kiswahili anaitwa Mbenga. Kwa kiingereza Tiger Fish hasa anapatikana kwenye Mto Congo na matawi yake. Hadi ziwa Tanganyika anapatikana sababu ni sehemu ya system ya mto Congo.
Ni samaki lakini ana meno kama ya mamba au wanyama wengine wakali. Pia ana magamba magumu ya kuweza hata kuhimili kuumwa na mamba.
View attachment 3592275
Inadaiwa hakuna zindiko kali kama la samaki huyu. Watu humtumia kufanya mazindiko mawili. Moja la kujilinda, hili hutumia magamba yake magumu. Na lingine la kushambulia, hili hutumia meno yake.
Meno au magamba ya samaki huyu huchomwa kwenye moto. Kisha husagwa na mtu hunywa majivu yake yakiwa yamechanganywa na dawa za mitishamba pamoja na damu.
View attachment 3592271
Wakongo wengi hutumia kinga hii. Inadaiwa mtu aliyetumia meno ya samaki huyu akianza kukushambulia ni ngumu sana kumzuia. Labda uwe ulitumia kinga ya kujilinda ya magamba mengi sana, au ya samaki mkubwa kuliko yule aliyetumia adui anayekushambulia.
Pia magamba hayo huwekwa juu ya milango ya kuingilia ndani. Wachawi na nyoka huwa hawagusi nyumba hizo. Watu wengine huwa wanavaa hirizi zenye vipande vya meno na magamba ya samaki huyu.
Wakazi wengi wanaozunguka ziwa Tanganyika wanafahamu zindiko hili. Mtu huko akimpata Mzenga anakuwa kama amepata dhahabu. Meno na magamba yake yanasoko zuri sana .
View attachment 3592272View attachment 3592274
Samaki ni Kwa ajili ya chakula mazindiko wapi na wapi. Afrika mazafaka sanaHutaki zindiko Kali la samaki!
Mazindiko yana miiko yake Sasa usipo fuata miiko linaisha nguvuuuuuuuuHazisaidii kitu ni psychological tu so inakupa confidence ya kupambana. Kuna waasi wanajiita Mai Mai bakata Katanga hawa walikua wanajifukiza matambiko na kwamba risasi haziwapati ila mbona walikua wanadunguliwa tu na walikua wanakufa.
Nadhani ni kumtisha adui na kukupa confidence kupambana ila sio kwamba zinasaidia otherwise kina Mobutu wasingepinduliwa.