tuta andamanampaka jamaa atoboe miaka 10 atakuwa hajafanya ishu kama hii hapa tz?
Hili linaweza kutokea wakati wowote ule, si unaona watu wameshaanza kukamatwa FB kwa kumtukana!? Wanavuta muda tu wanaweza kabisa kuamua kufunga kila kitu. Madikteta ndivyo walivyo!!!
Ngoja mimi niseme kinyume chake nisijepelekwa mahakamani na kudaiwa fedha ya Corolla mchana kweupe.
Utawala wa awamu ya tano ni mzuri sana,umetoa uhuru wa habari hadi raha.
Vyama vya upinzani vimepewa fursa ya kuwasiliana na wananchi nje ya Bunge na ndani ya Bunge.
Dr Magufuli hana ugomvi na mtu wala utawala wake hauminyi uhuru wa kukutana.
Ni hayo tu wandugu.
Ngoja mimi niseme kinyume chake nisijepelekwa mahakamani na kudaiwa fedha ya Corolla mchana kweupe.
Utawala wa awamu ya tano ni mzuri sana,umetoa uhuru wa habari hadi raha.
Vyama vya upinzani vimepewa fursa ya kuwasiliana na wananchi nje ya Bunge na ndani ya Bunge.
Dr Magufuli hana ugomvi na mtu wala utawala wake hauminyi uhuru wa kukutana.
Ni hayo tu wandugu.
Na Serikali hii nzuri...
Pia Serikali hii nzuri imesema kwamba mara tu baada ya kupata katiba mpya kutakuwa na process ya kupata Tume huru ya uchaguzi.
Serikali pia imetoa onyo kwa polisi kuacha kuwanyanyasa kwa namna yoyote ile viongozi wote wa UKAWA nchini na wafuasi wao na pia wako huru kukutana na kuandamana mahali popote pale nchini bila ya ruhusa ya polisi.
Haleluya Bwana asifiwe what a beautiful country!! our beautiful country is BACK from the brink.
Reports from Zimbabwe suggests that the government has shut down social media amid the ongoing strike and mass stay away from duty by a section of civil servants.
According to an oppostion senator and former Minister of Education, Sport, Arts and Culture, David Coltart; the Robert Mugabe regime is seeking to stifle the truth from people.
‘‘The regime can try to stifle the truth from getting out but people don’t need whatsapp to see for themselves that Zimbabwe has been shut down,’‘ he said in a tweet.
Source: Africa News
We have pretty interesting leaders in Africa....preaching to work for the people while in principle majority of them are serving and pursuing their own interests and personal agendas. Tunasafari ndefu bado....shame !!!