don donaldlozzy
Member
- Jun 7, 2016
- 92
- 26
mateso mateso yamezidi nachoka daaah hii nyimbo inanifanya hapa nilipo natetemeka tu
mkuu siku hizi hakuna watangazaji bali kuna ma djHuu wimbo unaitwa "Kuoana." Patrick alimuimbia dada yake baada ya kuolewa. Patrick ni marehem kwa sasa. Muziki wa Tanzania ni mzuri sana ila radio zetu za kijinga ndizo zinajitahidi kuua muziki wetu lakini hawawezi kwani wapenzi tuko wengi.
mkuu siku hizi hakuna watangazaji bali kuna ma dj
Siku uliyoondoka..
Uliniacha nalia na majonziii
Umeenda kuishi mbali namii
Jojina wamamaaaa..
Sipati usingizi,
Nikikumbuka tulivyoishi mimi nawe
Jojiiinaaa..
Umeondoka Jojina
Umeniachia masikitiko
Jojina Jojina Ooh
Ni shoga wa Fina Mango kama sijakoseaWadau ebu nikumbusheni huu wimbo kaimba nani ingawa chorus yake siikumbuki vizuri ila unavoanza kuna mwanamama anaimba anasema "Nimeshitushwa na ujumbe ulionitumiaa................ Umesema kwamba hama zako hama zangu............" halafu kuna jamaa nae anaitikia kat kat ya wimbo anasema "Shogaa eeeeh jeuri hiyo mimi sinaaa........................ Ukiniudhi utanionea" Siukumbi vizuri ila izo sehemu nilizozitaja zimeimbwa kwenye huo wimbo! Waloimba wanaitwaje au kama kuna mtu anao atupie link hapa.
Huyu muimbaji wa wimbo huu nilionyeshwa, yupo kule Nachingwea, maisha yake ya sasa hayaenda na maisha mwanamuziki alikua bend maarufu kama ufafiki. Ila hata mzee Juma Mrisho nilimuona kipindi urafiki imekufa yeye akabaki kama meneja wa jumba la maendeleo urafiki, ukweli ni shida.mwenye wimbo wa UDA JAZZ unaitwa "TULELE TUBOWE" Umetungwa na kuimbwa na Mikidadi Seif kwa lugha ya Kimwera anisaidie
Ebu ngoja nitoke shambani, nikafukunyue kwenye maktaba yangu kisha nitarejeamwenye wimbo wa UDA JAZZ unaitwa "TULELE TUBOWE" Umetungwa na kuimbwa na Mikidadi Seif kwa lugha ya Kimwera anisaidie