Chibudee JF-Expert Member Joined Dec 28, 2016 Posts 1,775 Reaction score 2,408 Aug 26, 2017 #1 *stress ni nini?* *Ni pale alikiba anapotoa seduce me, afu wasafi wanaizima na kuipoteza kabisaa na ngoma kali ya zilipendwa* [HASHTAG]#WCBFORLIFE[/HASHTAG] Team Nyumbu ruksaa povuu
*stress ni nini?* *Ni pale alikiba anapotoa seduce me, afu wasafi wanaizima na kuipoteza kabisaa na ngoma kali ya zilipendwa* [HASHTAG]#WCBFORLIFE[/HASHTAG] Team Nyumbu ruksaa povuu
Sir Good JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 1,031 Reaction score 412 Aug 26, 2017 #2 Subiri watoto wenzio waje mjadili utoto wenu.
Chibudee JF-Expert Member Joined Dec 28, 2016 Posts 1,775 Reaction score 2,408 Aug 26, 2017 Thread starter #3 Sir Good said: Subiri watoto wenzio waje mjadili utoto wenu. Click to expand... Mkubwa kakojoe ulale "zilipendwa"
Sir Good said: Subiri watoto wenzio waje mjadili utoto wenu. Click to expand... Mkubwa kakojoe ulale "zilipendwa"
zipompa JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 12,077 Reaction score 26,006 Aug 26, 2017 #4 huu ni utoto, kiba katoa wimbo kuna watu wameupenda, domo katoa pia kuna wagonjwa kama ww mmeupenda kila mmoja ana mapenzi yake, kwa mm sijaona ukali wa wimbo wa domo
huu ni utoto, kiba katoa wimbo kuna watu wameupenda, domo katoa pia kuna wagonjwa kama ww mmeupenda kila mmoja ana mapenzi yake, kwa mm sijaona ukali wa wimbo wa domo
Chibudee JF-Expert Member Joined Dec 28, 2016 Posts 1,775 Reaction score 2,408 Aug 26, 2017 Thread starter #5 zipompa said: huu ni utoto, kiba katoa wimbo kuna watu wameupenda, domo katoa pia kuna wagonjwa kama ww mmeupenda kila mmoja ana mapenzi yake, kwa mm sijaona ukali wa wimbo wa domo Click to expand... Heri we mzima WA afya lakini mjinga WA akili Soma Alama zanyakati acha mihemko
zipompa said: huu ni utoto, kiba katoa wimbo kuna watu wameupenda, domo katoa pia kuna wagonjwa kama ww mmeupenda kila mmoja ana mapenzi yake, kwa mm sijaona ukali wa wimbo wa domo Click to expand... Heri we mzima WA afya lakini mjinga WA akili Soma Alama zanyakati acha mihemko
mudy92 JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 671 Reaction score 535 Aug 26, 2017 #6 umeandika Ki "kaka poa" hiviiii
zipompa JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 12,077 Reaction score 26,006 Aug 26, 2017 #7 Chibudee said: Heri we mzima WA afya lakini mjinga WA akili Soma Alama zanyakati acha mihemko Click to expand... unaweza kuwa mgonjwa alafu usijielewe kama mgonjwa, asa hapa wameimba nini? ama kuweka vionjo kwenye idea ya matonya unaona jambo la maana
Chibudee said: Heri we mzima WA afya lakini mjinga WA akili Soma Alama zanyakati acha mihemko Click to expand... unaweza kuwa mgonjwa alafu usijielewe kama mgonjwa, asa hapa wameimba nini? ama kuweka vionjo kwenye idea ya matonya unaona jambo la maana
Innocent Kirumbuyo JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 4,642 Reaction score 4,476 Aug 27, 2017 #8 Diamond ni noma bongo kimya simba Sent using Jamii Forums mobile app
U unyakudongo Member Joined Apr 8, 2014 Posts 64 Reaction score 44 Aug 27, 2017 #9 Ali kiba sio siri huo wimbo hamna kitu mwanzo mwisho anajisifia tu yeye majina yake eti basi hata ujumbe what to conclude hamna Sent using Jamii Forums mobile app
Ali kiba sio siri huo wimbo hamna kitu mwanzo mwisho anajisifia tu yeye majina yake eti basi hata ujumbe what to conclude hamna Sent using Jamii Forums mobile app
msabillah JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 4,763 Reaction score 3,198 Aug 27, 2017 #10 Kiba ni shidaa! SIJUI KESHO.
zipompa JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 12,077 Reaction score 26,006 Aug 27, 2017 #11 unyakudongo said: Ali kiba sio siri huo wimbo hamna kitu mwanzo mwisho anajisifia tu yeye majina yake eti basi hata ujumbe what to conclude hamna Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... wa domo una kipi cha maana kusifia watu/matukio ya zamani ndo nini sasa! hakuna kipya alisha fanya matonya hawa wamerudia tu
unyakudongo said: Ali kiba sio siri huo wimbo hamna kitu mwanzo mwisho anajisifia tu yeye majina yake eti basi hata ujumbe what to conclude hamna Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... wa domo una kipi cha maana kusifia watu/matukio ya zamani ndo nini sasa! hakuna kipya alisha fanya matonya hawa wamerudia tu
dem boyz JF-Expert Member Joined Nov 4, 2016 Posts 7,340 Reaction score 16,909 Aug 27, 2017 #12 unyakudongo said: Ali kiba sio siri huo wimbo hamna kitu mwanzo mwisho anajisifia tu yeye majina yake eti basi hata ujumbe what to conclude hamna Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Aiseeeh unataka ujumbe .... Hivi ujumbe gani ambao ungependa upewe katika zama hizi ili unusurike na hii life?
unyakudongo said: Ali kiba sio siri huo wimbo hamna kitu mwanzo mwisho anajisifia tu yeye majina yake eti basi hata ujumbe what to conclude hamna Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Aiseeeh unataka ujumbe .... Hivi ujumbe gani ambao ungependa upewe katika zama hizi ili unusurike na hii life?
dem boyz JF-Expert Member Joined Nov 4, 2016 Posts 7,340 Reaction score 16,909 Aug 27, 2017 #13 .....team wcb buana!!