Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,006
- 1,171
Tangu lini serikali ikawajibika kwa matibabu au chanjo ulishawahi kufika hospital yoyote serikali ikasaini matibabu yako ,na wasi wasi na watu wenye akili Kama za kwakoKabla ya kuchanjwa unasainishwa form ambayo inasisitiza kuwa serikali haitawajibika na madhara yoyote yatakayotokea baada ya chanjo,form inanifanya niseme kuwa nitakuwa raia wa mwisho kuchanjwa katika dunia hii.