IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,182
Wewe ziro kweli haya embu sema ni wapi nimecopy hii kitu...Kwa jinsi ulivyoandika jina 'mungu' , hujui lolote ni heri uulize kabla huja copy na kupaste bandiko la wenyewe.
Kanisani hawezi kuwa kama ktk danguro ama night club. Mavazi ya heshima ni muhimu ktk ibada ya Roho na kweliHayo yote yana maana mahali ambapo Mungu wa kweli anaabudiwa katika roho na kweli
Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
Hoja nzuri,,lakini kumbuka hata kwenye simu kuna notebook,,na kwa upande wangu kutunza kwenye simu inakuwa bora zaidi kuliko kwenye makaratasi,, kwa sababu kumbuka hilo daftari huwezi kuwa unatembea nalo every where au tuseme biblia ya kawaida huwezi kuwa nayo kila mahali,,,linapokuja swala la kujikumbusha neno la Mungu hizi simu ni better than you think kwa sababu kila mahali unakuwa nayo.Muumini yeye anatakiwa kusikiliza na kunukuu kwa pen na karatasi atarudia baada ya ibad.ili kuokoa mda wa Ibada.
Nani anamcontrol Muumini asiwe bize kwenye simu na mambo mengine nje ya Biblia? Wakati ibada inaendelea.
Makanisa ya kweli waumini wao uzima simu Ili kucontrol usikilizaji.
Achilia haya makanisa ya kina masanja yanaitwa christian science au makanisa ya mwendokasi haya SAwa. Maana yenyewe yalishatoka kwenye maadili ya Kikristo
Kama huja copy anzisha uzi kuhusu hayo mambo ili tujadili japo tulishalijadili karibu social media zote.Wewe ziro kweli haya embu sema ni wapi nimecopy hii kitu...
Huyi ni mchungaji sio katekista.😂😂😂 sawa Katekista
Tumesikia
Hata baada ya ibada hio note unaweza ukascan kwenye simu.Hoja nzuri,,lakini kumbuka hata kwenye simu kuna notebook,,na kwa upande wangu kutunza kwenye simu inakuwa bora zaidi kuliko kwenye makaratasi,, kwa sababu kumbuka hilo daftari huwezi kuwa unatembea nalo every where au tuseme biblia ya kawaida huwezi kuwa nayo kila mahali,,,linapokuja swala la kujikumbusha neno la Mungu hizi simu ni better than you think kwa sababu kila mahali unakuwa nayo.
Hivi kwanini bado Africa tupogizani kiasi hiki?
1: MZUNGU KATULETEA DINI
2: MZUNGU KATULETEA MAVAZI
3: MZUNGU KATULETEA UTANDAWAZI
4: MZUNGU KATULETEA NJIA ZA MAWASILIANO
5: MZUNGU KATULETEA TAHARUKI MBALIMBALI NA MAFUNZO JUU YA MAHUSIANO
6: MZUNGU HUYO BADO ANATUMALIZA KWA MAGONJWA YA KUTENGENEZA ILI AENDELE KUFANYA BIASHARA YA KUUZA MADAWA YA TIBA
7: MZUNGU ANAJALI MASLAHI ANAYOPATA KWA KUUZA THAMANI ZA KWENYE NYUMBA ZA IBADA
8: WEWE MTU MWEUSI UPO GIZANI NA HUTAKI KUAMINI KUWA DINI ZILIKUJA KIBISHARA NA HUJUI NI NJIA IPI HASWA UTUMIE KUMFAHAMU MUNGU WA KWELI
Toka gizani sasa na uanze kujifunza mungu wa kweli na kwa njia zipi unaweza kufikia uwepo wake..
Haya dadavua hapo tuoneView attachment 2481736
Haupo sawa hapo ndugu
simu haitumiki kila mda kama unavyozani,,,labda nikuulize kutakuwa na utofauti gani pale muumini atakapokuwa ana-note kwenye daftari na mimi na-note kwenye simu yangu kwa wakati mmoja??? Au pale muumini fulani awe anasoma mistari katika biblia wakati huohuo na mimi nafatilia kwenye biblia ya simu yangu???Hata baada ya ibada hio note unaweza ukascan kwenye simu.
Lengo la kuzuia simu ibadani ni kuweka attention.
Unaweza vipi jicontrol kutotumia mengine kwenye simu ibada ikiendelea?
Ajabu hizo simu siku hizi ndio watu wanatumia kwa ajili ya BibiliaZima simu wakati wa ibada
Utaamini vipi unanote kwenye simu au unachati?simu haitumiki kila mda kama unavyozani,,,labda nikuulize kutakuwa na utofauti gani pale muumini atakapokuwa ana-note kwenye daftari na mimi na-note kwenye simu yangu kwa wakati mmoja??? Au pale muumini fulani awe anasoma mistari katika biblia wakati huohuo na mimi nafatilia kwenye biblia ya simu yangu???
Katekista,
unawaambiaje wale wanawake walioolewa huwa wanatabia ya kuacha kukaa upande wa wanawake wenzao na kuja kukaa karibu na waume zao huku upande wa wanaume?.
Maana naona ni kama wanadeka na wanawaringishia wale wenzao ambao hawajaolewa!.
Kama unahitaji swala la kuthibitishiana kwenye ibada,,,acha nikuulize muumini anayefata protocol zote za kanisani lakini bado mawazo na fikra zake hazipo ibadani unaweza kumtambua??? Na je huyo unamuweka kundi lipi??Utaamini vipi unanote kwenye simu au unachati?
Kanisani wote awaingii kwa lengo mojaKama unahitaji swala la kuthibitishiana kwenye ibada,,,acha nikuulize muumini anayefata protocol zote za kanisani lakini bado mawazo na fikra zake hazipo ibadani unaweza kumtambua??? Na je huyo unamuweka kundi lipi??
Masheria meeengi lakini Afrika,Bongo Bado maskini,watu wanashinda wamelala kwa Mwamposa,kanisa linanuka mikojo,na Bado wanaamini wamekuja kupona,Kwa akina dada vaa nguo yenye kusitiri mwili wako, ficha matiti yako na usionyeshe mapaja na matako yako ukiwa kanisani - haswa ikiwa umeketi mbele au unaongoza nyimbo za sifa na ibada. Kwa nini umkengeushe nabii na waabudu wengine?
Ukiwa kanisani, zima simu yako. Epuka kutafuna big G. Na usitupe takataka kanisani.
Ukiwa na changamoto ya kusikia usingizi wakati wa ibada, kaa safu ya katikati nyuma kabisa. Unaweza pia kupiga miayo huko.
Acha kuwatazama watu wanapoomba na kusifu - wewe pia umeenda kanisani kuabudu na kusifu hivyo sifu na uombe kama wao.
Acha kuchezea kurasa za biblia hovyo hovyo maana kufanya hivyo ni kukosa adabu - unaweza kufanya hivyo kibinafsi ukiwa nyumbani kwako.
Tafadhali jali watoto wanaolia. Usiondoke kabla ibada haijamaliza, isipokuwa kama utapata dharura.
Kama lilivyo shirika lingine lolote, kanisa pia lina bili - usiende kanisani mikono mtupu nenda na sadaka.
Ikiwa hujui kuimba ama huwa unaimba off-tune kama mimi, tafadhali punguza sauti yako[emoji1787]
Wengine wakimaliza kuomba tafadhali nyamaza. Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko (1Kor 14:33).
Kwa wanandoa, peaneni mabusu mkiwa nyumbani au kwenye gari na sio ibadani.
Nakutakia ibada njema.
Ubarikiwe.
Kwa kushindwa kunipa jibu nililotarajia,,,now it's over.Kanisani wote awaingii kwa lengo moja
Wapi huko hakuna sheria?Masheria meeengi lakini Afrika,
Hawajui watendaloAjabu hizo simu siku hizi ndio watu wanatumia kwa ajili ya Bibilia
Nimekushauri ufungue uzi so nitadadavua kwenye huo uzi wakoHaya dadavua hapo tuone