Zijue Sifa za wife Material unayemhitaji......

Zijue Sifa za wife Material unayemhitaji......

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,934
Wakuu hizo hapo chini ni baadhi ya sifa za wife material kwa uchache wengine wanaweza ongezea.

1. WIFE MATERIAL yuko home amelala, sio club anashikiliwa.
2. Wife material anamuuliza mamayako home anaendeleaje, si kuuliza bouncer wa Billz namchukia.
3. Wife material anajua kupika co kula burger na juice
4. Wife material anakula buyu kama hauna pesa, sio kuita galfriends wake wale nyama choma na Guinness on yua bill.
5. wife material ni kuwa natural co kupaka makeup kilo kumi hadi unakaa kama fisi kanywa damu.
6. Wife material lazima ajue kushika jembe, sio kuita2
7.......
8......

Wakuuu wengine waongezee kama zipo zaidi ya hizo
 
Hapo juu sijaona sifa ya kumtofautisha wife material na wengne..kuna pretenders wanazo zote..kaka..ukikomaa kuanglia hizo sifa unapotea..wife material ni upstairs bhana kama anafany ktu sahihi kwa mtu sahih n wakati sahihi huyo anafaa kuwa mke.
 
Wakuu hizo hapo chini ni baadhi ya sifa za wife material kwa uchache wengine wanaweza ongezea.

1. WIFE MATERIAL yuko home amelala, sio club anashikiliwa.
2. Wife material anamuuliza mamayako home anaendeleaje, si kuuliza bouncer wa Billz namchukia.
3. Wife material anajua kupika co kula burger na juice
4. Wife material anakula buyu kama hauna pesa, sio kuita galfriends wake wale nyama choma na Guinness on yua bill.
5. wife material ni kuwa natural co kupaka makeup kilo kumi hadi unakaa kama fisi kanywa damu.
6. Wife material lazima ajue kushika jembe, sio kuita2

Wakuuu wengine waongezee kama zipo zaidi ya hizo

7.......Wife material DOESNT take bullshit about anything, sio kwa kuwa umemuahidi kumuoa ndo akupakulie vyoooooote
8......Wife material is NOT CHEAP, ukichemka anakupa options hakung'ang'anii for no reasons
9.......Wife material hatishwi na ahadi yako ya ndoa, ukicheat anasepa.
 
Kwahiyo ambao hawajawahi kulima siyo wife material?
 
Uliyeongezea umejitahd ukiendelea hvy utakuwa mwanando boraTE]
 
7.......Wife material DOESNT take bullshit about anything, sio kwa kuwa umemuahidi kumuoa ndo akupakulie vyoooooote
8......Wife material is NOT CHEAP, ukichemka anakupa options hakung'ang'anii for no reasons
9.......Wife material hatishwi na ahadi yako ya ndoa, ukicheat anasepa.

This is it,hayo ya juu yote(7 mpaka 1) ni chai tu
 
5. wife material ni kuwa natural co kupaka makeup kilo kumi hadi unakaa kama fisi kanywa damu.
Nitumie namba yako ya sim nikutumie hata vocha ya mia tano,hakyamama,,mkuu,nimecheka sana
Ndio ukweli wa wanawake wa siku hiz wengi,ukimuona asubuhi hajaweka makeup unaweza kusahau mlango uko wapi ukapitia dirishani.
 
Swala la kulima!! Kwa kizazi cha sasa, sidhan kama utapata wife material.
 
Elimu moja wapo.
Elimu inachangia sana sio ajue kingireza ndio useme elimu. La! Asha!
Kingereza ni lugha...nasemea elimu ya shule, nyumbani, kuishi na watu na awe mwelewa na mvumilivu.

7. ELIMU

8. UVUMILIVU

Sent from Samsung Note III using Tapatalk
 
9. wife material awe mnato..sio bwawa
10. wife material awe mjuzi na ukarimu wa hofu kwa mumewe..miiko ya ki africa
11. wife material awe.................................

endeleeni ma hubby material..:israel:
 
Back
Top Bottom