zaratustra
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 848
- 223
STK=Sheria Taratibu Katiba
Nahaya Magari Yenye Plate Namba Ya 'DFP' nishirika gani?
Hivi sio project mkuu?Donor Funded Program
..........umesahau PT=Piga TuKuna uzi humu utafute lakini kukusaidia
SU=Shirika la Umma a.k.a Soma ule.
STL=Serikali ya Tanzania mwendelezo wa STK
SM=Serikali za Mitaa.
MT=Magereza Tanzania.
Kuna uzi humu utafute lakini kukusaidia
SU=Shirika la Umma a.k.a Soma ule.
STL=Serikali ya Tanzania mwendelezo wa STK
SM=Serikali za Mitaa.
MT=Magereza Tanzania.
Na DFPA je?
Donor Funded Project Again. Haha hiyo Again ya kwangu. Tumezidi kutembeza bakuli!
Sasa hivi DFP zinaongezeka kwa kasi. Kwa hyo wameamona waongeze utaratibu wa A B C
RAB - Shirika la reli
ST # A ni magari ya Ikulu
PT ni Police Tanzania na si TP kama ulivyoainisha
DFP ni Donor Funded Project hii ni badala ya TX
SU ni Shirika la Umma
STA,...STG,STH,STK, STJ,...,STZ ni magari ya Idara nyingine za serikali pamoja na wizara
WN (abc) ni waziri wa nchi
W (abc) ni waziri
S ni Spika
NS ni Naibu Spika
JM ni Jaji mkuu
CAG ni Chief Auditor General
Nahaya Magari Yenye Plate Namba Ya 'DFP' nishirika gani?
Kamuulize mwalimu wako wa chekechea,this is not for JF..
Lakini mbona naona STJ nyingi zinatumika na polisi, na STK zinatumika na wengine (especially wizara)?
Pia Sijawahi kuona wala kusikia STB wala STC. Ila ST zipo....na STA sio STA, mara nyingi huwa ST halafu namba, halafu mishwo ndio A.
Naweza kuelewa kuwa ST = Serikali Tanzania ila hizo herufi bado. Naomba mawazo zaidi, kwa wanaofahamu zaidi.
Kuna mdau alisema RAC ndo shirika la reli..ipi sahihi mkuu?