usichukulie serious kivile....nilichangamsha genge tu....sawa mkuu!No wonder kwny avatar yako umepiga picha kwenye baiskeli hapo na umeridhika na maisha hayo.
Duh, hii kali zaidi.!Nakazia tu maneno yangu jamani,,,,
Mpaka naingia kaburini vifuatavyo ni vifungo viwili ambavyo by hook or by crook (yaani "kamwe") sitokuja fungwa maishani mwangu:-
1.Kuajiriwa na mtu au taasisi yeyote iwayo
2. Ndoa
Kaka hata ajira yako Binafsi ukitaka utusue shart ikuoeNaomba zijue hasara za kuajiriwa:-
1. Lazima uamke kwa lazima kwa wakati ulio pamngiwa.
2. Lazima ufuate na ufanye kile ambacho kuna mtu alisha kifikiria na kuki create.
3. Hauwezi ukawa na uhuru kama sisi wakulima.
4. Lazima uwe mtiufu kwa kila bosi wako hata kama anakuonea.
5. Hauwezi ukapombeka hadi muda wenye unataka.
6. Marufuku kwenda kazi ukiwa umelewa.
7. Unaishi na utaishi kwa hofu na mashaka kwamba muda wowote unaweza ukafukuzwa kazi.
8. Ukiamka na mning'inio lazima uende kazi huku kichwa kinakuuma.
9. Unakua na kama umeolewa na alie kuajiri.
Anyway.........
Ngoja niishie hapa
Mkuu, mimi nimejiajiri lakini sivimbi kiviiiile....Kaka hata ajira yako Binafsi ukitaka utusue shart ikuoe
Weka malengo makubwa uone!Mkuu, mimi nimejiajiri lakini sivimbi kiviiiile....
Malengo makubwa hayawekwi kwa kuvimba mkuu.....Weka malengo makubwa uone!
umeongea ukweli dah watu wanakopa kurudisha pesa usanii mtupu dah mpaka kichwa kinauma wakikopa tu hawakai kutumia ila kulipa wagumuKwa awamu hii ya magufuli, tuliochukua uamuzi wa kuacha kazi na kujiajiri, kuna wkt unafukiria bora ungebaki na ajira yako.
Mzunguko mdogo sana, watu wengi wanakopa, pesa ngumu kupatikana na ikipatikana thaman yake ndogo sanaa
ha ha ha hyo ya pili umeuaNakazia tu maneno yangu jamani,,,,
Mpaka naingia kaburini vifuatavyo ni vifungo viwili ambavyo by hook or by crook (yaani "kamwe") sitokuja fungwa maishani mwangu:-
1.Kuajiriwa na mtu au taasisi yeyote iwayo
2. Ndoa
Raha ya kuajiriwa pekee ni kuchukua mkopo na ukajenga nyumba na kufungua biashara ndogo ,hata ukikosa kazi na mkopo hutadaiwa tena.Lakini si kukopa na kununua magari ya kutembelea,au furniture
Utakua mswahiliswahili,Malengo makubwa hayawekwi kwa kuvimba mkuu.....
Ili ufanikiwe, sio lazima utumie nguvu aiseeee....... View attachment 873845
Mi sikuachi mamaConversation yenu imenichekesha, Mangi ukienda nje unipe mchongo nami.
Hiyo ina cost watu wengi Sana ndo maana mtu mwenye mtaji anahamua kwenda kufanya shughuli zake na kuw karibu na familia yke, linauma lkn ulaingia mkatabaMimi nimeajiriwa....nimegundua kitu kimoja ambacho kinanikwaza...na chenye thamani zaidi ya pesa...UHURU...kuna siku mtu.unajuskia huna hamu tu yakutoka saa 11 alfajiri lkn huna namna....unaweza ukawamiss.ndugu zako wa mkoani etc
.lkn sasa ukiwaza hizo process na mashartu dah....
Mzazi anaweza akakupigia anaumwa na ukweli akawa anaumwa lkn movement ya harakaharaka kwenda mkoani utata.....UHURU dah