Ni kweli mkuu...na sendo zake zile zile nadhani pesa ya Russia bado haijafika.Hahahahaha mkuu hujaongeza chumvi kweli?

Hao wazungu wao ndio wanajua matumizi ya hio kitu,wabongo wanaiga tuuWamefanyaje Kwan?
Nani kasema hapatumiki?Hivi mbona Nyuma panapendwa sana wakati hapatumiki.
Kwa umaarufu aliokuwa nao niliogopa kumsogelea.Hahaha daah hata kumpa buku la maji mkuu
Bro! Sema ukweli au hata wewe nae ni Samaki anaependa kuishi TopeniKunavutia na kuhamasisha uyo akikukalia penyewe lazima mashine iamke
Kama mambo ni hiv mwakani na mimi naenda
Hivi mbona Nyuma panapendwa sana wakati hapatumiki.
Nilipishana nae juzi kati hapo posta kwa kweli anatia huruma.
Mi ilibidi nisimame nimwangalie vizuri mana anatembea kama ananguka hivi.
Anatia huruma kwa kweli
Wamefanyaje Kwan?
nyie wachokozi nyie!!!kuna mwingine huyo anaosha vyombo wowowo looote liko mlangoni kwangu!!dahWanakula kwa macho
Ni wanaume dunia nzima.Kumbe cyo ugonjwa wa wanaume wa bongo peke yao?