monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,883
- 13,621
Mwakani lazma nikajisajili Kili marathon!
Anaitwa nani humu!? Sio witnessj kweli!!!!Hahahahahaa huyu dada ni memba humu JF.....
Tangu siku nyingi anapenda kufanya mazoezi ya kutembea barabarani jioni na jogging. Mwenyewe hana hata habari kuwa anawachelewesha watu, hapo ni pwata pwata pwata pwata kwa maraha yake heheheheheheh ila wanawake tukipata upenyo huwa tunajua kiuutumia aiseeh sio kwa maringo hayo hehehehee. Ila paparazzi nao hawapitwi na tukio looh..... utasema walipanga kumbe imetokea tuu... motion hehehee.
Kasie Cough Kasiba .
Sio dogo, ni nono
Whaaat!!team 'led tv'
Ndio hao
hahaha nan anataka keroAhhh... jibu ni hilo hilo Yale ya mbwata mbwata
Nakusabahi sana fundi- ya vijana hayatuhusuyeahhhhh
salama kbs fundi wa plaster !unaweka kitu level bbyyyyNakusabahi sana fundi- ya vijana hayatuhusu