IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
Nimesikitika na kushitushwa na habari aliyotoa dada yetu wa kule ng'ambo kuona wazazi wakiwa wamelala chini pale Muhimbili Hospitali.
Swali langu ni je lile jengo aliagiza jpm litumike kama jengo la wazazi lilitumika kama alivoagiza? au baada ya kuacha ziara za kushitukiza pale wameligeuza tena kuwa ofisi?
Mamlaka husika shughulikieni hili swala bana sio mpaka ziara za mukulu tu ndo mrekebishe.... dada zetu na mama zetu kulala chini si sawa kabisa
Swali langu ni je lile jengo aliagiza jpm litumike kama jengo la wazazi lilitumika kama alivoagiza? au baada ya kuacha ziara za kushitukiza pale wameligeuza tena kuwa ofisi?
Mamlaka husika shughulikieni hili swala bana sio mpaka ziara za mukulu tu ndo mrekebishe.... dada zetu na mama zetu kulala chini si sawa kabisa