Ziara ya Xi Jinping Afrika. Hatatembelea Tanzania. Je, nchi yetu imepoteza mvuto na ushawishi?

..kichwa cha habari hapo juu chahusika.

..Xi Jinping anatembelea Afrika lakini ktk ziara hiyo hatofika Tz.

..Katika eneo la Afrika Mashariki na Maziwa Makuu atatembelea Rwanda.

..JE,hiyo siyo DHARAU kwa mchango wa Tanzania ktk mahusiano ya China na Afrika?

..JE, hiyo siyo dalili mbaya ya kuporomoka kwa ushawishi wa Tanzania ktk masuala ya uchumi, diplomasia, na mahusiano ya kimataifa?

Baada ya kuchaguliwa tu Rais Xi Jinping ziara yake ya kwanza kutoka nje ya China ilikuwa ni Tanzania
 
..amewahi.

..lakini ingependeza kama angetutembelea ktk awamu hii ya "hapa kazi tu."

..tumekuwa tukijitamba kuwa tunatekeleza DIPLOMASIA YA KIUCHUMI.

..kama ni kweli, tumeshindwa vipi kumshawishi kiongozi wa taifa lenye uchumi mkubwa duniani kutembelea nchi yetu ili ku consolidate mashirikiano yetu ya kiuchumi?
JokaKuu marais wa mataifa makubwa na yenye nguvu wanakuwa na ratiba zenye malengo muhimu. Hawatembelei nchi nyingine hovyo hovyo kama hawa wakwetu eg alivyokuwa Kikwete. Huyu rais alishatembelea Tanzania na malengo na madhumuni ya ziara yake yatachukuwa muda mrefu kutekelezwa!
 
JokaKuu marais wa mataifa makubwa na yenye nguvu wanakuwa na ratiba zenye malengo muhimu. Hawatembelei nchi nyingine hovyo hovyo kama hawa wakwetu eg alivyokuwa Kikwete. Huyu rais alishatembelea Tanzania na malengo na madhumuni ya ziara yake yatachukuwa muda mrefu kutekelezwa!

..but still I think there is a lot more going on in Tanzania as compared to little Rwanda where Xi Jinping has chosen to visit.
 
Kwa hiyo Xi Jinping hajawahi kuitembelea Tanzania au?
Nonsense
Kwani kuna ukomo wa Marais wa mataifa makubwa kiuchumi duniani kutembelea nchi mbalimbali Afrika? Nonsense! Ifanye nchi yako kutembelewa tena Kwa kuboresha Mambo mbalimbali kama demokrasia na mazingira Bora ya uwekezaji na biashara
 
Ni vizuri asije kabisa aishiehukohuko maana deni tulilonalo si haba, na tunakoelekea Africa itakuwa ni koloni la China.
 
Kwamba Shi Ji Pin atatembelea nchi zote za Afrika isipokua Tanzania tuu!!!

Daah hii hatari kweli...
 
Deal la bandari ya Bagamoyo limebuna/ linasuasua kaona asiwazawadie ziara.
 
..kichwa cha habari hapo juu chahusika.

..Xi Jinping anatembelea Afrika lakini ktk ziara hiyo hatofika Tz.

..Katika eneo la Afrika Mashariki na Maziwa Makuu atatembelea Rwanda.

..JE,hiyo siyo DHARAU kwa mchango wa Tanzania ktk mahusiano ya China na Afrika?

..JE, hiyo siyo dalili mbaya ya kuporomoka kwa ushawishi wa Tanzania ktk masuala ya uchumi, diplomasia, na mahusiano ya kimataifa?
This time hakuna meno za tembo
 
Deal la bandari ya Bagamoyo limebuna/ linasuasua kaona asiwazawadie ziara.

..dili ya bandari haijabuma.

..ila Jiwe kashindwa kutoa fedha za kulipa wananchi waliohamishwa kupisha mradi.

..Jiwe angetoa fedha hizo, Tz ingekuwa na 10% ya shares za mradi.

..kwa hiyo sasa hivi mradi huo utahusisha Wachina na Waoman.
 
..dili ya bandari haijabuma.

..ila Jiwe kashindwa kutoa fedha za kulipa wananchi waliohamishwa kupisha mradi.

..Jiwe angetoa fedha hizo, Tz ingekuwa na 10% ya shares za mradi.

..kwa hiyo sasa hivi mradi huo utahusisha Wachina na Waoman.
Nimeona hii article ya The East African kabla ya kupost, ndiyo maana nikaweka / linasuasua

Ila either way, Wachina wameona that is a slap in the face na nafikiri wanatoa message kwamba kuna nchi nyingine kibao Africa tuna deal nazo.

Shot in the arm for Bagamoyo port project

Shot in the arm for Bagamoyo port project

By DOROTHY NDALU
More by this Author
MONDAY JUNE 4 2018

The Bagamoyo port project, whose implementation has been marred by funding hitches and government flip-flop, could kick off this month, after Tanzania agreed with Chinese and Omani investors on a financing deal that is expected to be signed soon.

If constructed, the $10 billion Bagamoyo port will be East Africa’s largest.

Tanzania’s Minister for Communication and Transport Prof Makame Mbarawa told parliament in Dodoma last week that negotiations with the investors are at the final stages and a contract is expected to be inked this month.

The construction of a $10 billion port in a former slavery harbour of Bagamoyo, which was mooted in 2013, was suspended in 2016 — a year after President John Magufuli came to power — with sources saying the Magufuli government was keen on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports instead.

But Prof Mbarawa said the project was suspended to allow the upgrade of berths one to seven and construction of berths 13 and 14.

The China ambassador to Tanzania Wang Ke last month said the project will start soon.

Related Content
Located about 75km from Dar es Salaam and 10km from Bagamoyo town, the port will breathe life into the Bagamoyo Special Economic Zone that is expected to attract about 700 industries and become a strategic investment zone in East Africa.

About 190 industries, including a fertiliser processing plant, will be put up by the government of Oman around the port.

The Bagamoyo port and its affiliate industrial zone are meant to address congestion at the old port and support Tanzania to become East Africa’s leading shipping and logistics centre.

President Magufuli’s administration has been on a spree investing in infrastructure projects with a major boost in Dar es Salaam port.
 
Kiranga,

..kwenye Bagamoyo Port nilitegemea Jiwe ata-renegotiate ili kupata mkataba mzuri zaidi.

..badala yake zimekuja taarifa za, " Dar surrenders Bagamoyo Port Project to Chinese."
 
Back
Top Bottom