Ziara ya Netanyahu Marekani

Ziara ya Netanyahu Marekani

Unajua wengi mnaficha ukweli wa hili tatizo! Jee unakubaliana na mimi kwamba tatizo hili ni la Imani? allah amesha wafunulia waumini waislamu woote duniani kwamba; adui yao mkubwa ni wayahudi! Na muumin anaamini hivyo ili apate thawab, na pepo! Suratul tawba:30 msemaji hapo anamuomba Mungu awaangamize Wayahudi! Huoni hapo kauli ya iran ni mwangwi tekelezi? Hizo verse nazo ni uongo?? Hata ingekuwa wewe Nonda ungejikalia kimya uangamizwe wewe na kizazi chako!? Unatuletea link; basi acha tuamini link hizo allah ni muongo mkubwa! Sawa mukulu0†7!
 
Last edited by a moderator:
daah nonda!! Hao ni wasaka tonge tu! Ilaha kama unawaamini kuliko allah sawa0†7! Sasa Ufundishe uma huu humu jamvini, kwamba; allah ambaye ana uchu kwamba Wayahudi WAANGAMIE AMEGHAFIRIKA! isipokuwa; hawa wa Link ndio wakweli!; Kuna shida gani kihivyo mukulu?
 
Last edited by a moderator:
daah nonda!! Hao ni wasaka tonge tu! Ilaha kama unawaamini kuliko allah sawa0†7! Sasa Ufundishe uma huu humu jamvini, kwamba; allah ambaye ana uchu kwamba Wayahudi WAANGAMIE AMEGHAFIRIKA! isipokuwa; hawa wa Link ndio wakweli!; Kuna shida gani kihivyo mukulu?
Ndugu mgen
Ugonjwa wako/ tatizo lako linahitaji msaada wa kitaalamu.
Hailekei kama kweli umezitazama hizo video na kutafakari.
Una mihemko zaidi na wala hutaki kujihabarisha na kujua kile kinachoendelea.

Ukitaka tuongee habari za kiimani na Allah anzisha uzi maalum.
Pale yanapoibuliwa mambo ya dini na imani,tunapochangia michango yetu hufutwa au kufichwa. Kwa hiyo tusipoteze muda kuandika vitu ambavyo waongoza jukwaa la JF hawavivumilii.

vipi unawezamwita mtu msaka tonge bila ya wewe kuweka yako yanayopinga anayoyasema yeye?Hoja zako ni zipi ili tulinganishe na za kwake?
Tupia narrative yako. mgen...tena katika lugha ya kimjadala sio jazba.
Tafadhali.ukumbi ni wako.
 
Ndugu mgenUgonjwa wako/ tatizo lako linahitaji msaada wa kitaalamu.Hailekei kama kweli umezitazama hizo video na kutafakari.Una mihemko zaidi na wala hutaki kujihabarisha na kujua kile kinachoendelea.Ukitaka tuongee habari za kiimani na Allah anzisha uzi maalum.Pale yanapoibuliwa mambo ya dini na imani,tunapochangia michango yetu hufutwa au kufichwa. Kwa hiyo tusipoteze muda kuandika vitu ambavyo waongoza jukwaa la JF hawavivumilii. vipi unawezamwita mtu msaka tonge bila ya wewe kuweka yako yanayopinga anayoyasema yeye?Hoja zako ni zipi ili tulinganishe na za kwake?Tupia narrative yako. mgen...tena katika lugha ya kimjadala sio jazba.Tafadhali.ukumbi ni wako.
Mkuu licha ya maneno yako matamu maskioni hayabadili ukweli, hasa hasa kwa muumini ambaye Anaamini qaraa ni neno la allah kushikamana nalo ili apate thawab kisha azawadiwe pepo na allah!! Wee Nonda hutaki thawab na pepo? Ndipo nikakwambia kwamba tatizo la Mkati baina ya waarabu/Wayahudi ni la deen/Imani zaidi kuliko vinginevyo! Unapo taka waumini wasiwaangamizi Wayahudi huoni unawatakia mabaya? Kuhusu video; licha kuwa nipo uswazi si vibaya kuangalia, lakini nashika yaliyo mema. Hakuna ubaya wewe na mimi kumwaga yetu na wengine wakajifunza, kuliko kuwa mateja wa mawazo ya wenzetu! Mwenyezi Ametupa akili ya nini?
 
The Casino Republic
The Real Ruler of Israel: Sheldon Adelson
by URI AVNERY
Who is the ruler of Israel?
Prime Minister Binyamin Netanyahu, of course.
WRONG.
The real ruler of Israel is one Sheldon Adelson, 81, American Jew, Casino king, who was rated as the world’s tenth richest person, worth 37.2 billion dollars at the latest count. But who is counting?
Besides his casinos in Las Vegas, Pennsylvania, Macao and Singapore, he owns the US Republican party and, lately, both Houses of the US Congress.
He also owns Binyamin Netanyahu.
Adelson’s connection with Israel is personal. On a blind date, he fell in love with an Israeli woman.
Miriam Farbstein was born in Haifa, attended a prestigious high school, did her army service in the Israeli institute which deals with bacteriological warfare and is a multifaceted scientist. After one of her sons (from her first marriage) died of an overdose, she is devoted to the fight against drugs, especially cannabis.
Both Adelsons are fanatical supporters of Israel. Not just any Israel, but a rightist, supremacist, arrogant, violent, expansionist, annexationist, non-compromising, colonialist Israel.
In “Bibi” Netanyahu they found their man. Through Netanyahu they hope to rule Israel as their private fief.
To assure this, they did an extraordinary thing: they founded an Israeli newspaper, solely devoted to the furthering of the interests of Binyamin Netanyahu. Not of the Likud, not of a specific policy, but of Netanyahu personally.
Years ago I invented a Hebrew word for papers which are distributed for nothing. “Hinamon” translates, roughly, into “ragratis” or “gratissue” and was intended to denigrate. But I did not dream of a monster like “Israel Hayom” (“Israel Today”) – a paper with unlimited funds, distributed every day for nothing in the streets and malls all over the country by hundreds, perhaps thousands of paid young persons.
Israelis love getting something for nothing. Israel Hayom is now the daily paper with the widest distribution in Israel. It drains readers and advertising revenue from its only competitor – Yedioth Ahronoth (“Latest News”), which held this title until then.
Yedioth reacted furiously. It became a ferocious enemy of Netanyahu. Yossi Werter, a commentator of the center-left Haaretz (which has a far lower circulation) even believes that the present election boils down to a contest between the two papers.
That is vastly exaggerated. Judged by political and social content, there is little to differentiate the two. Both are super-patriotic, war-mongering and rightist. That is the journalistic recipe for attracting the masses anywhere in the world.
Yedioth is owned by the Moses family, a business-minded clan. The present, third-generation publisher is Arnon (“Noni”) Moses, the publicity-shy boss of a large economic empire based on the paper. The paper serves his business interests, but he has no special political interests.
Adelson is unique.
In Israel, betting is forbidden by law. We have no casinos, and secret gambling dens are raided by the police. In our early youth we were taught that casino moguls are bad people, almost like arms merchants. They take the money off poor addicted people, throwing them into despair, even suicide. See Dostoyevsky.
Israelis read Israel Hayom (it’s something for nothing, after all), but they don’t necessarily like the man and his methods. So some members of the Knesset were encouraged to enter a bill forbidding gratis newspapers altogether.
Netanyahu and the Likud party did everything to obstruct this bill. But in the preliminary vote (necessary for private members’ bills) they were beaten in an amazing way. Even members of Netanyahu’s governing coalition voted for it. The cameras caught Netanyahu literally running in the Knesset plenum hall to gain his seat before the voting started.
The vote was 43 to 23. Almost half the Likud members absented themselves. Foreign Minister Avigdor Lieberman and his party voted for the bill. So did ministers Ya’ir Lapid and Tzipi Livni.
From the preliminary vote to the final adoption, such a bill has to pass several stages. There was plenty of time to bury it in one of the committees. But Netanyahu was furious. A few days after the vote, he dismissed Lapid and Livni from the cabinet, causing the government coalition to break up and the Knesset to disperse.
Why did Netanyahu do such a foolish thing less then half way through his (third) term of office? There can be only one logical explanation: he was ordered to do so by Adelson, in order to prevent the adoption of the law.
If so, Adelson is now our chief lawmaker. Perhaps he is also our chief government-maker.
Money plays an ever-increasing role in politics. Election propaganda is made on television, which is very expensive. Both in Israel and the US, legal and illegal funds pour into the campaign, directly and indirectly. Corruption is abetted or tolerated by the courts. The very rich (known euphemistically in America as the “wealthy”) exercise undue influence.
In the last US presidential elections, Adelson poured rivers of dollars into the contest. He supported Newt Gingrich, and then Mitt Romney, with huge sums of money. In vain. Perhaps Americans don’t like to be ruled by captains of casinos.
For the next US presidential elections, Adelson has started early. He has summoned to his Las Vegas casino HQ all leading Republican candidates, to grill them on their allegiance to him – and to Netanyahu. Nobody dared to refuse the summons. Would a Roman senator refuse the summons of Caesar?
In Israel, such rituals are superfluous. The Adelsons – both Miri and Sheldon – know who their man is.
The Israel Hayom newspaper is, of course, a big propaganda machine, totally devoted to the re-election of Netanyahu. All quite legal. In a democracy, who can tell a newspaper whom to support? We are still a democracy, for God’s sake!
It seems to be strange for a country to allow a foreigner, who never lived in the country, to have such enormous power over its future, indeed, over its very existence.
That’s where Zionism comes in. According to the Zionist creed, Israel is the state of the Jews, all the Jews. Every Jew in the world belongs to Israel, even if temporarily residing somewhere else. A few days ago, Netanyahu publicly claimed to represent not just the State of Israel but also the entire “Jewish People”. No need to ask them.
Accordingly, Adelson is not really a foreigner. He is one of us. True, he cannot vote in Israel, though his wife probably can. But many people, including himself, believe that he, being a Jew, has a perfect right to interfere in our affairs and dominate our lives.
For example, the appointment of our ambassador in the US. Ron Dermer is an American, born in Miami, who was active in Republican politics. To appoint an American functionary of the Republican Party as ambassador of Israel to a Democratic administration may seem strange. Not so strange if Netanyahu acted under the orders of Sheldon Adelson.
It was Adelson who prepared the witches’ brew that is now endangering Israel’s lifeline to Washington. His stooge, Dermer, induced the Republicans in Congress – all of them dependent on Adelson’s largesse or hoping to be so – to invite Netanyahu to give an anti-Obama speech before both Houses.
While this intrigue was in preparation, Dermer met with John Kerry but did not tell him of Netanyahu’s coming. Neither did Netanyahu inform President Obama, who, in a fury, announced that he would not meet with the Prime Minister.
From the point of view of Israel’s vital interests, it is sheer madness to provoke the President of the United States of America, who controls American’s flow of arms to Israel and the American veto power in the UN. But from the point of view of Adelson, who wants to elect a Republican president in 2016, it makes sense. He has already threatened to invest unlimited sums of money to prevent the reelection of any Senator or Representative who is ab sent from Netanyahu’s speech.
We are nearing open warfare between the Government of Israel and the President of the United States.
Is someone playing roulette with our future?
 
Huwa nacheka sana mtu akisema '' hamas, au hezbulah wanaitishia israel'', Wakati huohuo majengo ya hamas yamebomolewa ujenzi wake hadi ije kuwa kama zamani wanasema itakuwa 2030.

Hela za kujengea sasaivi wamekinga kikapu. hezbulah walishafurumushwa majengo yao yote beirut, na ndio maana israel walipokuwa wanaipiga gaza hezbohal hakuingilia kati kwasababu alijua atapigwa tu.

Huko syria, madege ya israel yalishaenda kumimina mabom mara nyingi sana ili walau asad arudishe mapigo na israel watie timu damascus kuichapa syria lakini asad amekuwa na akili sana hajajibu mapigo hadi leo.

Israel walikuwa wanategemea wakiipiga syria, asad anarudisha mashambulizi akisaidiwa na iran ili hiyo iwe short cut ya israel kupitia syria kwenda kuipiga iran, lakini iran ikanyamaza kimyaaa, asad akabana masaburi.

Hata generali wa iran alipouawa majuzi iran ilichojibu ni kuwatishia tu watoto wa netanyahu. hakuna lolote.

Mungu ibariki Israel.
Waafrika bhana, aliyeturoga sijui kaburi lake lipo wapi ili tukalifukue tuiombe angalau mifupa ya marehemu ituague kutoka kwenye uvundo huu wa akili tulionao!!! Yaani Mwafrika badala ya kumuomba Mungu aibariki Afrika, anaona fahari kumuomba Mungu aibariki Israel!!! The very interesting thing ni kwamba, hapa tunasukumwa na itikadi za kidini huku Myahudi mwenyewe si tu kwamba wala hana time na huyo Mwafrika mwenyewe, bali hata Ukristo wenyewe hautambui na anaiona ni dini ya kishetani kama ambavyo Ukristo unavyouna Uislamu!!!
 
Netanyahu ni shetani mbaya sana aliwah kusema live kuwa eti mungu alifanya makosa kumuumba mwafrika
 
Mkuu licha ya maneno yako matamu maskioni hayabadili ukweli, hasa hasa kwa muumini ambaye Anaamini qaraa ni neno la allah kushikamana nalo ili apate thawab kisha azawadiwe pepo na allah!! Wee Nonda hutaki thawab na pepo? Ndipo nikakwambia kwamba tatizo la Mkati baina ya waarabu/Wayahudi ni la deen/Imani zaidi kuliko vinginevyo! Unapo taka waumini wasiwaangamizi Wayahudi huoni unawatakia mabaya? Kuhusu video; licha kuwa nipo uswazi si vibaya kuangalia, lakini nashika yaliyo mema. Hakuna ubaya wewe na mimi kumwaga yetu na wengine wakajifunza, kuliko kuwa mateja wa mawazo ya wenzetu! Mwenyezi Ametupa akili ya nini?
Kama hii ndio aina yako ya mjadala..tafuta mshikaji ingine ufanye nae longo longo.

Kila la kheri, mgen.
 
Kama hii ndio aina yako ya mjadala..tafuta mshikaji ingine ufanye nae longo longo.Kila la kheri, mgen.
Qulu haqu wainkana mura! Wee unapenda stori stori zinazo kutumainisha Nuru eeh!?
 
Back
Top Bottom