Tembelea website hiyo ujionee ziara na historia ya Zanzibar United Nations
United Nations Photo
enjoy!
United Nations Photo
enjoy!
Watu wachape tu kazi ktk Muungano..hakuna mtu aliyemzuia Mzanzibar kufanikiwa kama anachapa kazi..yuko huru kama eneo ni dogo kwenda hata Mtwara kwa uhuru tu!
1. Kama sii Muungano hakuna ushahidi Visiwani wangekuwapo mbali zaidi kimaendeleo..huenda wangeuana wenyewe kwa wenyewe! Angalia ya Comoro kwa sasa..je wana afadhali leo hii??
2. Hoja kubwa inatolewa ni Visiwani kutopata msaada toka nje kama IOC n.k je ni wapi uliambiwa misaada ndo chanzo cha maendeleo?
Watu wachape tu kazi ktk Muungano..hakuna mtu aliyemzuia Mzanzibar kufanikiwa kama anachapa kazi..yuko huru kama eneo ni dogo kwenda hata Mtwara kwa uhuru tu!
1. Kama sii Muungano hakuna ushahidi Visiwani wangekuwapo mbali zaidi kimaendeleo..huenda wangeuana wenyewe kwa wenyewe! Angalia ya Comoro kwa sasa..je wana afadhali leo hii??
2. Hoja kubwa inatolewa ni Visiwani kutopata msaada toka nje kama IOC n.k je ni wapi uliambiwa misaada ndo chanzo cha maendeleo?
Watu wachape tu kazi ktk Muungano..hakuna mtu aliyemzuia Mzanzibar kufanikiwa kama anachapa kazi..yuko huru kama eneo ni dogo kwenda hata Mtwara kwa uhuru tu!