Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,308
- 271,633
Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki kimefanyika ndani ya ofisi za bunge la Ujerumani .
Vigogo wa Chadema walio kwenye ziara hiyo itakayowapeleka nchi kadhaa barani humo , ni pamoja na Katibu Mkuu , John Mnyika , Naibu Katibu Mkuu Salum Mwalimu , Zeud Mvano ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu na John Pambalu ambaye ni Kiongozi wa Bavicha .
Vigogo wa Chadema walio kwenye ziara hiyo itakayowapeleka nchi kadhaa barani humo , ni pamoja na Katibu Mkuu , John Mnyika , Naibu Katibu Mkuu Salum Mwalimu , Zeud Mvano ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu na John Pambalu ambaye ni Kiongozi wa Bavicha .