Ziara ya CHADEMA huko Ulaya yashika kasi

Ziara ya CHADEMA huko Ulaya yashika kasi

Kwa kweli inapendeza kuona chama cha siasa kuwa na mtazamo wa mbele . Hii inaonyesha chadema ìna viongozi wenye akili na wanajua wanachokifanya.
 
Kila la kheri hii ni Nchi yetu sote.
Laana ya unafiki na imwandame siku zote huyo jamaa. Baada ya uchaguzi alituhamisha kuingia barabarani kumbe yeye familia yake iko marekani.
Asante Mungu kwa kutuongoza kutokubali unafiki wake.
 
Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki kimefanyika ndani ya ofisi za bunge la Ujerumani .

View attachment 2427904View attachment 2427905View attachment 2427906

Vigogo wa Chadema walio kwenye ziara hiyo itakayowapeleka nchi kadhaa barani humo , ni pamoja na Katibu Mkuu , John Mnyika , Naibu Katibu Mkuu Salum Mwalimu , Zeud Mvano ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu na John Pambalu ambaye ni Kiongozi wa Bavicha .
Mbona wamekaa kienyeji! Hawajakaa kidiplomasia!
 
Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki kimefanyika ndani ya ofisi za bunge la Ujerumani .

View attachment 2427904View attachment 2427905View attachment 2427906

Vigogo wa Chadema walio kwenye ziara hiyo itakayowapeleka nchi kadhaa barani humo , ni pamoja na Katibu Mkuu , John Mnyika , Naibu Katibu Mkuu Salum Mwalimu , Zeud Mvano ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu na John Pambalu ambaye ni Kiongozi wa Bavicha .
"Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki kimefanyika ndani ya ofisi za bunge la Ujerumani"

Kwa hiyo Nukuu hapo juu!

Ebu tuulizane maswali kuntu hapa!
Kwa hiyo chama cha
"Christian Democratic Union" cha Ujerumani ndio kina amua siasa "Chadema" ya Tanzania?

Je!
Chadema mnaenda kushauriana na wazungu jinsi ya kuja kufanya siasa Tanzania?

Ni nani atajua malengo rasmi ya hao wazungu,kuisapoti Chadema na ili iweje baada ya Chadema kuchukua Dola?

Je!
Kuna siku Mzungu alikwisha fanya kazi ya Bure kwa Muafrika?

"Chadema"mkiambiwa mnatumiwa na Mabeberu mtabisha?

Je!
Chadema mmeishiwa Sera na Hoja mpaka mmerudi Darasani mkagundishwe Upya?

Kumbe Lissu kukaa kote nje ya nchi ni kuhudhuria Mafunzo ya Umama-mluki!

Kuna masharti gani nyuma ya huo msaada wa wajerumani,maana tunawajua kuwa ni mabingwa wa "LBGT"

Hata majuzi ndege ya Ujerumani "LUFTHANSA" iliyokuwa imebeba timu yao ya Taifa ilizuiwa kutua Qatar.
Sababu ilikuwa imechorwa alama za ushoga.

Mpaka walipotua nchi ingine na kubadilishiwa ndege isiyo na alama za kishoga.
Mambo Mengine Bora Muwe Mnafanya Kimyakimya Kuliko Kuja kujiaibisha huku JF

Toba!

Screenshot_20221127-000451_YouTube.jpg

V
 
"Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki kimefanyika ndani ya ofisi za bunge la Ujerumani"

Kwa hiyo Nukuu hapo juu!

Ebu tuulizane maswali kuntu hapa!
Kwa hiyo chama cha
"Christian Democratic Union" cha Ujerumani ndio kina amua siasa "Chadema" ya Tanzania?

Je!
Chadema mnaenda kushauriana na wazungu jinsi ya kuja kufanya siasa Tanzania?

Ni nani atajua malengo rasmi ya hao wazungu,kuisapoti Chadema na ili iweje baada ya Chadema kuchukua Dola?

Je!
Kuna siku Mzungu alikwisha fanya kazi ya Bure kwa Muafrika?

"Chadema"mkiambiwa mnatumiwa na Mabeberu mtabisha?

Je!
Chadema mmeishiwa Sera na Hoja mpaka mmerudi Darasani mkagundishwe Upya?

Kumbe Lissu kukaa kote nje ya nchi ni kuhudhuria Mafunzo ya Umama-mluki!

Kuna masharti gani nyuma ya huo msaada wa wajerumani,maana tunawajua kuwa ni mabingwa wa "LBGT"

Hata majuzi ndege ya Ujerumani "LUFTHANSA" iliyokuwa imebeba timu yao ya Taifa ilizuiwa kutua Qatar.
Sababu ilikuwa imechorwa alama za ushoga.

Mpaka walipotua nchi ingine na kubadilishiwa ndege isiyo na alama za kishoga.
Mambo Mengine Bora Muwe Mnafanya Kimyakimya Kuliko Kuja kujiaibisha huku JF

Toba!

View attachment 2428555
V
Kwamba Salum naye ni mkristo ?
 
Back
Top Bottom