Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,759
- 1,555
- Thread starter
- #21
Ukiwa serias nitafute hatuwez shindwa kufanya biashara kwa 7bu ya malipo ya paleHii kidogo ndio ishu
Ukiwa serias nitafute hatuwez shindwa kufanya biashara kwa 7bu ya malipo ya paleHii kidogo ndio ishu
Nipo serious Ila ufafanuziUkiwa serias nitafute hatuwez shindwa kufanya biashara kwa 7bu ya malipo ya pale
Tv gan unataka?Nipo serious Ila ufafanuzi
Nipo serious mkuu je utofauti ni upi ukiacha kuwa lg n brand coz nlikuwa nataka kwa ajili ya banda la mpira star x quality ya pic ipoje?na ubora?Utaipata pale msimbazi kariakoo, au posta urahis wako tu
Kwa banda la mpira star x inatosha sana, quality ya picture wala hutojutia na hazina shida yyt mbonaNipo serious mkuu je utofauti ni upi ukiacha kuwa lg n brand coz nlikuwa nataka kwa ajili ya banda la mpira star x quality ya pic ipoje?na ubora?
Hizo ni bei tu za kununua, ni bila usafir mkuuNa hizi bei ndo kila kitu au kuna malipo ya ziada Kama kuvusha?
Ila la usafir linazungumzika pia kama unataka uleteweHizo ni bei tu za kununua, ni bila usafir mkuu
Na usafiri inakuwaje?Ila la usafir linazungumzika pia kama unataka uletewe
Inategemea na tv unayotaka, 32" ni 40000 na hiyo ni pa1 na kodi, 40-43 ni 70000Na usafiri inakuwaje?
Inategemea na tv unayotaka, 32" ni 40000 na hiyo ni pa1 na kodi, 40-43 ni 70000
Kama upo arusha ama tanga ndio, ila maeneo mengne ni kablaMkuu sisi wa mikoani tutalipa baada ya kupokea mzigo pia
230000Mkuu star x 24" ni Bei ngapi
Umesema Malipo nitafanya baada a mi kupokea mzigo, vip tena niwe mie ndio naelipia Ushuru? Hapo nitakapokua nikiupokea mzigo ni wapi hapo ambako kunakua ushuru haujalipwa?Ubalipia kidogo pale
Labda hujanielewa, nikikuambia utalipa baada ya kupokea mzigo hapo me napiga hesabu zote mpaka nikiwa na maana najumlisha gharama ya tv plus gharama ya kuisafirisha, maana yake kama bei ya tv lg 32" ni 440000 nikiisafirisha mm utalipia 480000Umesema Malipo nitafanya baada a mi kupokea mzigo, vip tena niwe mie ndio naelipia Ushuru? Hapo nitakapokua nikiupokea mzigo ni wapi hapo ambako kunakua ushuru haujalipwa?