MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,337
- 7,179
Wanajaribu kutuangamiza Duniani' - Zelensky
Volodymyr Zelensky
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema.Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema. Msururu wa mashambulio ya makombora yaliyokumba Ukraine asubuhi ya leo ni inaonyesha wazi kwamba Urusi "inajaribu kutuangamiza Duniani," Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema.
Katika chapisho la Telegraph, Zelensky anaangazia milipuko huko Kyiv, Zaporizhzhia na Dnipro, akisema "kengele ya kuashiriahali ya hatari imekuwaikilia kote Ukraine."
"Kwa bahati mbaya, kuna waliofariki na kujeruhiwa," anaongeza, kabla ya kuwataka wananchi wake kusalia majumbani.
Urusi bado haijatoa tamko lolote kuhusu mashambulio ya leo asubuhi.
Wakati huo huo raia wanane wameuawa na wengine 24 kujeruhiwa kutokana na mashambulizi ya makombora mjini Kyiv asubuhi ya leo, msaidizi wa waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine amesema.
Magari sita yalishika moto baada ya shambulio hilo na zaidi ya magari 15 kuharibiwa.
NB: Unaangilia vampire huku wewe muoga
Volodymyr Zelensky
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema.Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema. Msururu wa mashambulio ya makombora yaliyokumba Ukraine asubuhi ya leo ni inaonyesha wazi kwamba Urusi "inajaribu kutuangamiza Duniani," Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema.
Katika chapisho la Telegraph, Zelensky anaangazia milipuko huko Kyiv, Zaporizhzhia na Dnipro, akisema "kengele ya kuashiriahali ya hatari imekuwaikilia kote Ukraine."
"Kwa bahati mbaya, kuna waliofariki na kujeruhiwa," anaongeza, kabla ya kuwataka wananchi wake kusalia majumbani.
Urusi bado haijatoa tamko lolote kuhusu mashambulio ya leo asubuhi.
Wakati huo huo raia wanane wameuawa na wengine 24 kujeruhiwa kutokana na mashambulizi ya makombora mjini Kyiv asubuhi ya leo, msaidizi wa waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine amesema.
Magari sita yalishika moto baada ya shambulio hilo na zaidi ya magari 15 kuharibiwa.
NB: Unaangilia vampire huku wewe muoga
