GE2025 ZEC: Vyama Visivyosaini Maadili ya Uchaguzi Havitaruhusiwa Kufanya Kampeni

GE2025 ZEC: Vyama Visivyosaini Maadili ya Uchaguzi Havitaruhusiwa Kufanya Kampeni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema kuwa chama chochote cha siasa kitakachoshindwa kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi hakitaruhusiwa kufanya kampeni, ingawa kitapewa fursa ya kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa ZEC, Thabit Idarous Faina, wakati wa kikao na viongozi wa vyama vya siasa na wadau wa uchaguzi wakijadili rasimu ya kanuni za uchaguzi

 
Huku bara tuliambiwa hakuna kushiriki uchaguzi wakati unguja haushiriki kampeni kumbe Sheria tofauti nchi moja
 
Back
Top Bottom