Wabunge wengi wakati wa kampeni walikuwa wanaomba kula, wamepewa na wanachi, Unategemea nini? Wengi hawana moyo wa kutumikia wananchi zaidi ya kuwa washabiki tena pengine kwenye mambo ambayo hawayaelewi. Mfano wabunge wanomba uwakilisi wa SDAC wakati hwajui kabisa kiingereza. Tena bila aibu anasimama mbele kujichafua kwa dunia nzima. Duuhhhhh. Ningekuwa mimi, pale waliposema kiinglish, ningeachana na mpango wa kujinadi kabisa kwani ingetuza heshima kwa kiasi fulani.