Jana nilitizama kipindi cha ze komedi, kwakweli vijana wanajitahidi kuwa na sustainability, tho these days popularity imeshuka kidogo tofauti na miezi mitatu kurudi nyuma. vijana wanakuja na innovations, seems they get trouble to think, thats good!!!!!!!!
BUT sikutegemea kikundi kile kinachoongozwa na sekioni david na isaya mwakilasa, ambao nilidhani kidogo they have abit exposure, radical and morden, to come up with that clip, that shows and mock mama kilango(joti) akiwa anaongea kwa kulalama na kama mama wa kiswahili, na huku kikimwonyesha mama sofia simba(wakuvanga) akiwa anaongea kwa utaratibu na hekima!
Guys........... mnaelekea wapi?
ni kwa sababu ya 'pesa" mmepuuza utu wenu?
kweli mlikuwa sobber enough to mean what you showed yesterday?
hivi ni kweli huo ndio UKWELI mnaosimamia?
BUT sikutegemea kikundi kile kinachoongozwa na sekioni david na isaya mwakilasa, ambao nilidhani kidogo they have abit exposure, radical and morden, to come up with that clip, that shows and mock mama kilango(joti) akiwa anaongea kwa kulalama na kama mama wa kiswahili, na huku kikimwonyesha mama sofia simba(wakuvanga) akiwa anaongea kwa utaratibu na hekima!
Guys........... mnaelekea wapi?
ni kwa sababu ya 'pesa" mmepuuza utu wenu?
kweli mlikuwa sobber enough to mean what you showed yesterday?
hivi ni kweli huo ndio UKWELI mnaosimamia?