Tangu jana mchana kingamuzi kimezima hadi mda huu hatujui kinachoendelea tumebaki 2meangaliana.tunawashukuru kwa zawadi hio ambayo kila mwana familia lazima aifeel.
Tangu jana mchana kingamuzi kimezima hadi mda huu hatujui kinachoendelea tumebaki 2meangaliana.tunawashukuru kwa zawadi hio ambayo kila mwana familia lazima aifeel.
hichi king'amuzi ni janga ndugu yangu mi nashukuru nina decoder nyingine.. nchi huduma kwa wateja Zero kwa kweli.. ni vipi tuta
shindana kwenye hii dunia ya utandawazi .. inatia hasira sana.. mimi ninacho muda kidogo muda mwingine kinakatika hata wiki.. daah kweli haya ndio majanga ya snura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.